Klabu ya West Ham itajaribu kumsajili nyota wa Chelsea, Tammy Abraham kwa mkopo kwenye dirisha kubwa la usajili linalokuja mara baada ya Chelsea kuweka dau la paundi milioni 40 kama thamani ya nyota huyo.

 

Dau hilo linatajwa kuzifukuza timu kadhaa zinazoonyesha nia ya kutaka kumsajili jumla zikiwemo klabu za Aston Villa, Newcastle na Leicester city hivyo West Ham imeona njia rahisi kumpata mshambuliaji huyo ni kwa kumtaka kwa mkopo.

Inataarifiwa kwamba kuna uwezekano mshambuliaji huyo akaomba kuondoka mara baada ya kukosa nafasi ndani ya kikosi cha Chelsea chini ya kocha Thomas Tuchel.


Tammy na Tuchel

PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA


6 MAONI

JIBU

Tafadhali andika maoni yako
Tafadhali andika jina lako hapa