Ten Hag Haeleweki na Man United Yake

Makala iliyopita
Locatelli: Sijutii Kutojiunga ArsenalMakala ijayo
Arteta Amsifu Kinda wake Nwaneri
Jana klabu hiyo ilianza kampeni yake kwenye michuano ya Uefa Europa League wakiwa katika uwanja wa nyumbani dhidi ya Fc Twente kutoka nchini Uholanzi na kuishia kupata sare ya bao moja kwa moja, Hii ikiwa ni muendelezo wa matokeo yasiyoridhidha ndani ya klabu hiyo kwa msimu wa 2024/25.