Carlos Alcaraz ameendelea kuthibitisha ubora wake kwenye mchezo wa tenisi baada ya kuwa mchezaji wa kwanza mwaka huu kufikisha ushindi wa mechi 50, akimchapa Hamad Medjedovic kwa seti 6-4, 6-4 …
Makala nyingine
Nyota wa tenisi kutoka Japani, Naomi Osaka, ameamua kujiondoa katika mashindano ya WTA 1000 ya Cincinnati ili kupata muda wa kupumzika na kujiandaa kikamilifu kuelekea US Open inayotarajiwa kuanza Agosti …
Gauff, mwanatenisi wa Marekani na bingwa wa French Open, alijikuta akilia kwa uchungu baada ya kutolewa katika raundi ya kwanza ya michuano ya Wimbledon siku ya Jumanne. Gauff, ambaye aliingia …
Djokovic amewashukuru madaktari kwa “vidonge vya miujiza” baada ya kumsaidia kuepukana na hali ya kutokujisikia vizuri mchezoni hali iliyopelekea kupoteza seti moja, kwenye harakati zake za kutafuta taji la kihistoria …
Emma Raducanu, bingwa wa zamani wa US Open na mchezaji nambari moja wa Uingereza, ataanza kampeni yake ya Wimbledon kwa mtanange wa kuvutia dhidi ya Mimi Xu, ambaye amepewa tiketi …
Chama cha tenisi cha wanawake Duniani, (WTA) kimetangaza sheria mpya ya kulinda nafasi ya kiwango cha ubora kwa wachezaji wa kike pale wanapoingia kwenye majukumu ya uzazi, kama vile kulea …
Murray na Rafael Nadal wameonyesha utofauti juu ya mustakabali wa maisha yao mara baada ya wote kustaafu mchezo wa tenisi. Murray alistaafu baada ya Olimpiki ya Paris, huku Nadal akicheza …
Carlos Alcaraz amefanikiwa kumshinda bingwa namba moja Duniani Jannik Sinner kwenye mchezo wa fainali wa grand slam, uliochezwa hapo jana mjini Paris, Ufaransa. Alcaraz ambaye anashika namba mbili kwa ubora, …
Lois Boisson ameendelea kuandika historia ya kipekee kwenye Mashindano ya French Open baada ya kumchapa mchezaji namba 6 kwa ubora duniani, Mirra Andreeva, na kufuzu hatua ya nusu fainali. Lois …
Bingwa mtetezi wa French Open, Carlos Alcaraz, alionesha ubora wa hali ya juu kwa kumshinda Tommy Paul, na kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali katika mashindano ya Roland Garros. Carlos …
Novak Djokovic alishinda tena nyasi za Uingereza alipomshinda Frances Tiafoe kwenye mchezo wa Tennis Classic wa Giorgio Armani huko Hurlingham. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36 atajaribu kufikia …
Carlos Alcaraz ndiye mchezaji wa hivi punde kuthibitisha kuwa hatashiriki mashindano ya Monte Carlo Masters. Mchezaji huyo nambari mbili duniani tayari ana mataji mawili kwa jina lake mnamo 2023 …
Denis Shapovalov alishindwa mikononi mwa Wu Yibing wa China anayekua kwa kasi kwenye mashindano ya Dallas Open. Wu alipata ushindi wa 7-6 6-4 dhidi ya mshindi wa Canadian Davis …
Belinda Bencic alisimama kidete kufika robo fainali ya Abu Dhabi Open huku wenzake ambao ni vipenzi vya watu Anett Kontaveit na Jelena Ostapenko wakielekea nyumbani. Bencic alitinga hatua yake …
Bingwa mara nne wa Grand Slam Naomi Osaka ametangaza kuwa ni mjamzito na hatarajii kucheza tenisi tena hadi mwaka ujao. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 hajacheza tangu …
Taylor Fritz amejinyakulia ushindi huo huku Marekani ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Italia katika fainali ya Kombe la United. Jessica Pegula na Frances Tiafoe walifungua njia …
Bingwa mara nne Naomi Osaka amejiondoa kwenye mashindano ya Australian Open 2023. Mjapani huyo mwenye umri wa miaka 25 ni mshindi mara mbili wa Australian Open (2019 na 2021), …

