Mchezaji wa tenesi mwanamke namba 1 kwa ubora duniani – Ashleigh Barty, ameibuka tena kwenye ulimwengu wa michezo, safari hii ni kwenye mchezo wa gofu.
Japokuwa hatokuwepo uwanjani kutetea taji lake la French Open mwezi ujao, Ashleigh anaendelea kubeba mataji kwenye michezo mingine kutokana na uwezo wake wa kucheza michezo mbalimbali.
Aliwahi kucheza mchezo wa kriketi ambao ni mchezo anaoucheza mchumba wake. Safari hii amebeba taji la Women’s Championship mchezo uliochezwa Brookwater Golf Club.
Barty ambaye ni baba wa mwanadada huyu, aliwahi kuwa mchezaji wa gofu na sasa mwanae amebeba taji la mchezo huo kwa ushindi wa 7 na 5 kwenye mchezo wa fainali.
“Anasifa zote kama akiamua kuzitumia kwenye mchezo huu. Nimeshuhudia wachezaji wengi wa gofu wakitoka kwenye michezo mingine, lakini Barty ni bora kuliko wengi wao. Anauwezo mkubwa wa kupiga mipira, nadhani kiuhalisia anapata faida ya kuwa mchezaji wa tenisi.” amesema mshindi upande wa wanaume – Louis Dobbelaar.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Tatu
Uwezo wake wa kucheza michezo yake mwanadada Barty kumemfanya ajulikane sana kukiwa kuna mashindano ya gofu sawa au tenis
magdalena
binti mrembo alopata umaarufu kwa haraka zaidi kupitia michezo yake miwili
Neema
Ni moja ya sifa nzuri kwa kipaji alichonacho. Kimemfanya ajulikane dunia nzima. Pongezi kwake mdada
Fatina
Pongezi umepata umaaruf mkubwa kwa kupitia uwo mchezo
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri na michezo yote anaiweza ndomana nimalufu mwadada Barty yupo vizuri anapambana kwenye michezo yote gofu yupo tenis yupo ndomana marufu Sana na nimpambaji Sana yeye kokote usalia kukupiga
Zeiyana
Hii imekua habati kubwa kwake Ashleigh
Ernest
Uwezo mkunwa sana ndio uzuri wa Multi-talent kwa wenzetu unapiga tuu mkwanja mbali na kuwa maarufu
Mwajumah
Ashleigh amepata umaarufu wake wa haraka kupitia michezo yake miwili
jullie
hongera sana
Sadick
Vipaji adimu kumudu michezo yote namna hiyo#meridianbettz
Amiri Kayera
Amebarikiwa Kwa kwer
Sabrina
Daa mrembo ana vipaji na vyote anavitendea haki yuko vizuri
felister
Barty ni mchezaji Bora kuliko wengine wote
Tumaini kasalile
Hongera
Caroline
Ashleigh yupo vizuri
Rose kapinga
Safii umetisha mdada!!!
Latifa juma mohamed
Pongezi kwake mdada
Sauda
Mdada yupo vizuri sana
Samiah
HOngera
David Pere
Uwezo mkunwa sana ndio uzuri wa Multi-talent kwa wenzetu unapiga tuu mkwanja mbali na kuwa maarufu