Mcheza tennis nambamoja kwa ubora duniani Daniil Medvedev ameshndwa kulipa Kisasi kwa Rafael Nadal baada ya kupoteza tena kwa mfululizo wa set 6-3, 6-3 siku ya ijumaa kwenye mchezo wa …
Makala nyingine
Mcheza tennis namba 87 kwa ubora duniani Andy Murray ameondolewa kwenye mashindano ya Qatar ExxonMobil Open baada ya kupoteza kwa mfululizo wa set kwenye hatua ya 16 bora. Andy Murray …
Mwendesha mashitaka wa nchini Serbia amesisitiza kuwa vipimo vya mchezaji tennis namba moja duniani Novak Djokovic vilikuwa halali, hakukuwa na udanganyifu wowote uliofanyika. Mshindi huyo mara 20 wa Gland Slam …
Rafael Nadal anasimama mbele ya malejendari wa mchezo wa tennis baada ya kumshinda Daniil Medvedev kwenye fainali ya Australian Open na kuweka rekodi ya kushinda Grand Slam yake ya 21. …
Rafael Nadal kwa anafikilia zaidi kushinda taji la Australian Open ili aweze kuwa mchezaji namba moja mwenye Grand slam 21 na kuwapita Novak Djokovic na Roger Federer kwenye listi ya …
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 42, Ashleigh Barty anakua raia wa kwanza wa Australia kufika hatua ya fainali ya mashindano ya Australian Open. Barty ambaye ni bingwa wa …
Mashindano ya Australian Open 2022 yanaendelea kunoga, hatua ya nusu fainali hiyo kurindima. Rafael Nadal, ndani ya nyumba. Licha ya kuhitajika kuvishinda vikwazo vingi uwanjani, Nadal amefanikiwa kutinga hatua ya …
Mchezaji namba 2 kwa ubora duniani (wanaume), Daniil Medvedev, amefuzu hatua ya 16 bora kunako mashindano ya Australian Open. Medvedev alikua uwanjani akichuana na Botic van de Zandschulp katika uwanja …
Bingwa mtetezi wa Australian Open (wanawake), Naomi Osaka, amevuliwa rasmi ubingwa baada ya kupoteza mchezo wa hatua ya tatu ya mashindano ya mwaka huu. Osaka alikuwa uwanjani kuchuana na chipukizi, …
Amahakika, ng’ombe wa masikini hazai. Licha ya kuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na majeruhi, kurejea kwa Andy Murray kumeishia mzunguko wa pili kule Melbourne. Murray amerejea kwenye mashindano …
Mchezo wa mzunguko wa pili (kwa wanawake) umemalizika kunako Australian Open. Naomi Osaka vs Madison Brengle ni burudani! Osaka ameonesha ukomavu na ustahimilivu uliojaa uwezo mkubwa wa kupiga mipira yenye …
Serikali ya Australia haikuonesha dalili zozote za kulegeza pale ilipokuwa ikishughulika na Novak Djokovic alipokuwa akijaribu kushiriki michuano ya wazi ya Australia wiki hii bila kupata chanjo na Mserbia huyo …
Mchezaji namba moja wa tennis duniani Novak Djokovic matumaini ya kushiriki Australian Open yamezima kama kama kukatika kwa umeme baada ya mahakama kutupilia mbaki rufaa yake dhidi ya kibali cha …
Mchezaji namba nne kwa ubora duniani Stefanos Tsitsipas amemshutumu mchezaji namba moja kwa ubora duniani Djokovic kwa kuwafanya wachezaji wengine wa tennis kuonekana wajinga baada ya kuruhusu kucheza pasipo kuchanjwa. …
Mchezaji namba moja duniani wa tennis Novak Djokovic atatumia wikiendi yote akiwa amefungiwa katika hotel jijini Melbourne huku mwanasheria wake akiwa anashughulikia kurudisha visa ambayo serikali ya Austaria iliyofutwa. Djokovic …
Nyota kutokea nchini Hispania Rafael Nadal ametua kwenye jiji la Melbourbe nchini Australia ili kushiriki michuano ya Australian Open baada ya kupona ugonjwa wa Uviko-19 nyota huyo wa kutokea Hispania …
Wakati mashabiki na waandaji wa mashindano ya Australian Open wakiafuatilia kwa karibu muenendo wa Novak Djokovic, tayari ameshajitoa kwenye ATP. Mashindano ya ATP kwa nchi 16 yanatarajiwa kuanza Jumamosi hii …