Makala nyingine

Mcheza tennis nambamoja kwa ubora duniani Daniil Medvedev ameshndwa kulipa Kisasi kwa Rafael Nadal baada ya kupoteza tena kwa mfululizo wa set  6-3, 6-3 siku ya ijumaa kwenye mchezo wa …

Rafael Nadal anasimama mbele ya malejendari wa mchezo wa tennis baada ya kumshinda Daniil Medvedev kwenye fainali ya Australian Open na kuweka rekodi ya kushinda Grand Slam yake ya 21. …

Mashindano ya Australian Open 2022 yanaendelea kunoga, hatua ya nusu fainali hiyo kurindima. Rafael Nadal, ndani ya nyumba. Licha ya kuhitajika kuvishinda vikwazo vingi uwanjani, Nadal amefanikiwa kutinga hatua ya …

Mchezaji namba 2 kwa ubora duniani (wanaume), Daniil Medvedev, amefuzu hatua ya 16 bora kunako mashindano ya Australian Open. Medvedev alikua uwanjani akichuana na Botic van de Zandschulp katika uwanja …

Bingwa mtetezi wa Australian Open (wanawake), Naomi Osaka, amevuliwa rasmi ubingwa baada ya kupoteza mchezo wa hatua ya tatu ya mashindano ya mwaka huu. Osaka alikuwa uwanjani kuchuana na chipukizi, …

Amahakika, ng’ombe wa masikini hazai. Licha ya kuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na majeruhi, kurejea kwa Andy Murray kumeishia mzunguko wa pili kule Melbourne. Murray amerejea kwenye mashindano …

Mchezo wa mzunguko wa pili (kwa wanawake) umemalizika kunako Australian Open. Naomi Osaka vs Madison Brengle ni burudani! Osaka ameonesha ukomavu na ustahimilivu uliojaa uwezo mkubwa wa kupiga mipira yenye …

Serikali ya Australia haikuonesha dalili zozote za kulegeza pale ilipokuwa ikishughulika na Novak Djokovic alipokuwa akijaribu kushiriki michuano ya wazi ya Australia wiki hii bila kupata chanjo na Mserbia huyo …

Mchezaji namba moja wa  tennis duniani Novak Djokovic matumaini ya kushiriki  Australian Open yamezima kama kama kukatika kwa umeme baada ya mahakama kutupilia mbaki rufaa yake dhidi ya kibali cha …

Mchezaji namba moja duniani wa tennis Novak Djokovic atatumia wikiendi yote akiwa amefungiwa katika hotel jijini Melbourne huku mwanasheria wake akiwa anashughulikia kurudisha visa ambayo serikali ya Austaria iliyofutwa.  Djokovic …

Nyota kutokea nchini Hispania Rafael Nadal ametua kwenye jiji la Melbourbe nchini Australia ili kushiriki michuano ya Australian Open baada ya kupona ugonjwa wa Uviko-19 nyota huyo wa kutokea Hispania …

Wakati mashabiki na waandaji wa mashindano ya Australian Open wakiafuatilia kwa karibu muenendo wa Novak Djokovic, tayari ameshajitoa kwenye ATP. Mashindano ya ATP kwa nchi 16 yanatarajiwa kuanza Jumamosi hii …

1 2 3