Mchezaji nguli wa Tennis Roger Federer ametangaza kuachana na mchezo huo na kwamba mashindano ya ATP TOUR ya Laver Cup yatakuwa ya mwisho kwake na pia hatocheza mashindano yoyote makubwa …
Makala nyingine
Novak Djokovic anatumaini kushiriki kwenye mashindano ya French Open baada ya serikali ya Ufaransa kuondoa vikwazo vya chanjo ya Uviko-19 baada ya mwezi huu kupitisha sheria ya kutoruhusu mtu yeyeto …
Mcheza tennis nambamoja kwa ubora duniani Daniil Medvedev ameshndwa kulipa Kisasi kwa Rafael Nadal baada ya kupoteza tena kwa mfululizo wa set 6-3, 6-3 siku ya ijumaa kwenye mchezo wa …
Ushindi wa Rafael Nadal kwenye michuano ya Australian Open haukumfurahisha makamu raisi wa klabu ya Barcelona na kuamua kuelezea hisia yake kwenye mitandao ya kijamii Alfons Godall siku ya jumatatu …
Mwendesha mashitaka wa nchini Serbia amesisitiza kuwa vipimo vya mchezaji tennis namba moja duniani Novak Djokovic vilikuwa halali, hakukuwa na udanganyifu wowote uliofanyika. Mshindi huyo mara 20 wa Gland Slam …
Ushindi wa kushangaza wa Rafa Nadal wa fainali ya Australian Open 2022 dhidi ya Daniil Medvedev siku ya Jumapili ulimfanya kitakwimu kuwa mchezaji bora wa tenisi kwa wanaume wa wakati …
Rafael Nadal anasimama mbele ya malejendari wa mchezo wa tennis baada ya kumshinda Daniil Medvedev kwenye fainali ya Australian Open na kuweka rekodi ya kushinda Grand Slam yake ya 21. …
Yametimia, baada ya miaka 44, Ashleigh Barty anakuwa raia wa kwanza wa Australia kutwaa ubingwa wa Australian Open. Barty ameibuka kidedea baada ya kumfunga Danielle Collins kwa matokeo ya seti …
Ni wikiendi ya burudani iliyotawaliwa na hisia kwa wananchi wa Australia wakati wanatazamia kuchezwa kwa fainali za Australian Open 2022. Baada ya miaka 42, raia wa Australia anafanikiwa kucheza fainali …
Rafael Nadal kwa anafikilia zaidi kushinda taji la Australian Open ili aweze kuwa mchezaji namba moja mwenye Grand slam 21 na kuwapita Novak Djokovic na Roger Federer kwenye listi ya …
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 42, Ashleigh Barty anakua raia wa kwanza wa Australia kufika hatua ya fainali ya mashindano ya Australian Open. Barty ambaye ni bingwa wa …
Burudani ya mchezo wa tenesi inaendelea viwanjani. Stefano Tsitsipas ametinga hatua ya nusu fainali kwa ushindi mnono. Tsitsipas alikuwa uwanjani akichuana na Jannik Sinner katika mchezo wa robo fainali. Stefano …
Mashindano ya Australian Open 2022 yanaendelea kunoga, hatua ya nusu fainali hiyo kurindima. Rafael Nadal, ndani ya nyumba. Licha ya kuhitajika kuvishinda vikwazo vingi uwanjani, Nadal amefanikiwa kutinga hatua ya …
Mchezaji namba 2 kwa ubora duniani (wanaume), Daniil Medvedev, amefuzu hatua ya 16 bora kunako mashindano ya Australian Open. Medvedev alikua uwanjani akichuana na Botic van de Zandschulp katika uwanja …
Bingwa mtetezi wa Australian Open (wanawake), Naomi Osaka, amevuliwa rasmi ubingwa baada ya kupoteza mchezo wa hatua ya tatu ya mashindano ya mwaka huu. Osaka alikuwa uwanjani kuchuana na chipukizi, …
Amahakika, ng’ombe wa masikini hazai. Licha ya kuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na majeruhi, kurejea kwa Andy Murray kumeishia mzunguko wa pili kule Melbourne. Murray amerejea kwenye mashindano …
Mchezo wa mzunguko wa pili (kwa wanawake) umemalizika kunako Australian Open. Naomi Osaka vs Madison Brengle ni burudani! Osaka ameonesha ukomavu na ustahimilivu uliojaa uwezo mkubwa wa kupiga mipira yenye …