Djokovic na Konta Wamefuzu Nusu Fainali

Mashindano ya Western and Southern Open yanaendelea kutimua vumbi mjini Cincinnati – Marekani. Novak Djokovic na Johanna Konta wanaendelea kuwaburuza wapinzani wao na sasa wamefuzu hatua ya nusu fainali.

Katika michezo yao ya robo fainali, Novak alikutana na Jan-Lennard Struff wakati Konta alichuana na Maria Sakkari.

Djokovic na Konta waendeleza ubabe kwenye michuano ya Western na Southern Open.

Katika mchezo uliokuwa wa waina yake, Novak alimgaragaza Mjerumani – Jan Lennard Struff kwa seti 6-3 6-1 na kuendeleza rekodi yake ya kutopoteza mchezo katika michezo 21 aliyoicheza mwaka huu.

“kiujumla nimefurahi, nilikuwa ninacheza vizuri na nimepiga mipira vizuri na kujipatia pointi.” amesema bingwa wa Australian Open na Wimbledon – Novak Djokovic.

Johanna Konta alikuwa na wakati mzuri baada ya kumgaraza kirahisi Maria Sakkari ambaye alimtoa Serena Williams. Konta aliibuka na ushindi wa seti 6-4 6-3 na hivyo amefuzu hatua ya nusu fainali ya  michuano hiyo.

Akiwa kwenye kiwango bora tangu kuanza kwa Mashindano haya, Konta amesema “Nilifurahi kwa kuweza kuumudu mchezo na kuwa mgumu kila nilipohitahika kuwa hivyo. Niliweza kushindana kwa baadhi ya sehemu za mchezo ambazo niliziona ni muhimu wakati tunacheza.”

Kufuatia kuibuka kwa maandamano yanayopinga mauaji ya watu weusi baada ya mauaji ya Jacob Blake aliyeshambuliwa kwa risasi na polisi, michezo mingi nchini Marekani imesimama kwa muda.

Shirikisho la mchezo wa tenisi nchini humo – US Tennis Association, ATP na WTA wamesema, “mchezo wa tenis kwa pamoja unapinga vitendo vya ubaguzi wa rangi na uvunjwaji wa haki za binadamu.”


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

31 Komentara

    Kila kitu kinaenda na wakati kwa sasa wakati wa Serena kutamba kwenye tens ushakwisha

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Mambo mazuri kwa Djokovic kutesa kwazamu Sasa wakina Selena wakae Chini sasa

    Jibu

    Pongezi Sana kwao

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Well done!

    Jibu

    safii sana yani

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Hongera kwao da nilijua Serena atawakilisha kama kawaida

    Jibu

    Big up kwao

    Jibu

    Pongezi kwao#Meridianbetz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Inapendeza sana

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    hongera sana

    Jibu

    kiujumla nimefurahi, nilikuwa ninacheza vizuri na nimepiga mipira vizuri na kujipatia pointi.” amesema bingwa wa Australian Open na Wimbledon – Novak Djokovic.

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Gud

    Jibu

    habari njema hizi na pongezi kwao

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    hongera yao jamani

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Hii ni habari njema kwa wana tenis inavuta.

    Jibu

    Djokovic katisha sana

    Jibu

    saf

    Jibu

    Pongezi kwao wako vizuri!!!

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Wapo vizuri sana pongezi nyingi kwao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.