HABARI ZAIDI
Novak Djokovic Kushiriki French Open na Monte-Carlo Masters
Novak Djokovic anatumaini kushiriki kwenye mashindano ya French Open baada ya serikali ya Ufaransa kuondoa vikwazo vya chanjo ya Uviko-19 baada ya mwezi huu...
Novak Djokovic Na Wiki Ya Ubingwa.
Mashindano ya French Open 2021 yamemalizika rasmi baada ya mchezo wa Novak Djokovic vs Stefano Tsitsipas kwenye fainali.
Licha ya kuanza mchezo kwa kupoteza seti...
French Open 2021 Ni Djokovic vs Tsistipas
Hatimaye mashindano ya French Open 2021 kufikia tamati wikiendi hii. Upande wa wanaume, Novak Djokovic atachuana na Stefano Tsitsipas kwenye fainali.
Djokovic alikuwa uwanjani kuchuana...
French Open 2021, Nadal vs Djokovic X57.
Utamu wa mashindano ya French Open 2021 upande wa wanaume, sasa ndio unaanza. Huku Rafael Nadal vs Novak Djokovic, kule Stefano Tsitsipas vs Alexander...
French Open 2021, Krejcikova vs Pavlyuchenkova
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, fainali ya mashindano ya French Open 2021 kuwakutanisha wachezaji wawili ambao pengine hawakupewa nafasi ya ushindi mwaka huu.
Barbora Krejcikova uso...
Coco Gauff Atolewa Kwenye Roland Garros
Mambo yamemuendelea vibaya Coco Gauff (miaka 17) kwenye mchezo wa robo fainali ya Roland Garros. Atolewa nje kishujaa.
Gauff alikuwa uwanjani akichuana na Barbora Krejcikova...
Tsitsipas Atinga Nusu Fainali Ya 3 Mfululizo.
Mambo yanazidi kupamba moto kunako mashindano ya French Open 2021. Stefanos Tsitsipas anaendelea kuonesha ubora wake kwenye uwanja wa tope.
Tsitsipas alikuwa uwanjani akichuana na...
Novak Djokovic Aponea Kwenye Tundu La Sindano.
Kunako muendelezo wa Roland Garros, almanusura Novak Djokovic ayaage mashindano mbele ya kijana wa miaka 19 raia wa Italia.
Djokovic alijitutumua kupindua matokeo yaliyomnusuru asiyaage...
Serena Williams Atolewa Roland Garros 2021
Katika hali isiyo ya kawaida au pengine mashabiki wengi hawakutegemea, Serena Williams atolewa kwenye mashindano ya French Open 2021.
Williams alikuwa akichuana na Elena Rybakina...
Naomi Osaka Ajiondoa French Open 2021
Mwanadada mcheza tennis namba mbili kwa ubora duniani Naomi Osaka amefikia hatua ya kujiondoa kwenye mashindano ya French Open kwa madai ya kuwa vyombo...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Kesheni milahula on Ligi 10 Bora Barani Africa 2022.
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Hatua za Kujisajili Meridianbet | Unapewa Zawadi ya Ukaribisho
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu