Nguli wa mchezo wa tenesi duniani Roger Federer ambae ametangaza kustaafu mchezo huo siku kadhaa nyuma inaelezwa atacheza mchezo wake wa mwisho ijumaa hii. Nyota huyo anatarajiwa kucheza kwenye mashindano …
Makala nyingine
Mchezaji nguli wa Tennis Roger Federer ametangaza kuachana na mchezo huo na kwamba mashindano ya ATP TOUR ya Laver Cup yatakuwa ya mwisho kwake na pia hatocheza mashindano yoyote makubwa …
Mcheza tennis anayeshika namba moja kwa ubora duniani Naomi Osaka hataweza kushiriki mashindano ya Wimbledon kutokana na majeraha aliyoyapata akiwa anashiriki michuano ya Madrid Open na sababu ya kutopanda kwa …
Novak Djokovic anatumaini kushiriki kwenye mashindano ya French Open baada ya serikali ya Ufaransa kuondoa vikwazo vya chanjo ya Uviko-19 baada ya mwezi huu kupitisha sheria ya kutoruhusu mtu yeyeto …
Mashindano ya French Open 2021 yamemalizika rasmi baada ya mchezo wa Novak Djokovic vs Stefano Tsitsipas kwenye fainali. Licha ya kuanza mchezo kwa kupoteza seti 2 za mwanzo, Djokovic alirejea …
Hatimaye mashindano ya French Open 2021 kufikia tamati wikiendi hii. Upande wa wanaume, Novak Djokovic atachuana na Stefano Tsitsipas kwenye fainali. Djokovic alikuwa uwanjani kuchuana na mpinzani wake wa muda …
Utamu wa mashindano ya French Open 2021 upande wa wanaume, sasa ndio unaanza. Huku Rafael Nadal vs Novak Djokovic, kule Stefano Tsitsipas vs Alexander Zverev. Baada ya kupita kwenye kila …
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, fainali ya mashindano ya French Open 2021 kuwakutanisha wachezaji wawili ambao pengine hawakupewa nafasi ya ushindi mwaka huu. Barbora Krejcikova uso kwa uso na Anastasia Pavlyuchenkova. …
Mambo yamemuendelea vibaya Coco Gauff (miaka 17) kwenye mchezo wa robo fainali ya Roland Garros. Atolewa nje kishujaa. Gauff alikuwa uwanjani akichuana na Barbora Krejcikova katika mchezo wa robo fainali …
Mambo yanazidi kupamba moto kunako mashindano ya French Open 2021. Stefanos Tsitsipas anaendelea kuonesha ubora wake kwenye uwanja wa tope. Tsitsipas alikuwa uwanjani akichuana na Daniil Medvedev katika mchezo wa …
Kunako muendelezo wa Roland Garros, almanusura Novak Djokovic ayaage mashindano mbele ya kijana wa miaka 19 raia wa Italia. Djokovic alijitutumua kupindua matokeo yaliyomnusuru asiyaage mashindano ya French Open katika …
Katika hali isiyo ya kawaida au pengine mashabiki wengi hawakutegemea, Serena Williams atolewa kwenye mashindano ya French Open 2021. Williams alikuwa akichuana na Elena Rybakina katika mchezo wa mzunguko wa …
Mwanadada mcheza tennis namba mbili kwa ubora duniani Naomi Osaka amefikia hatua ya kujiondoa kwenye mashindano ya French Open kwa madai ya kuwa vyombo vya habari vinamuharibu kiakili. Wiki moja …
Nyota wa tenisi, Naomi Osaka hatarajii kusikiliza maswali ya aina yeyote kutoka kwa vyombo vya habari katika michuano ya French Open. Osaka anasisitiza kuwa asili ya mikutano na vyombo vya …
Kuelekea mashindano ya French Open 2021, mchezaji namba 3 kwa ubora duniani (kwa wanawake) kunako mchezo wa tenesi – Simona Halep, amejiweka kando kwa sasa. Halep anakaa pembeni kutokana na …
Bado matokeo yanaendelea kwenye kinyume na uwezo wa Serena Williams kuelekea mashindano ya French Open. Baada ya kutolewa mapema kwenye mashindano ya Italian Open, Williams alikubali kupewa kadi maalumu ya …
Baada ya kukaa nje ya uwanja toka mwezi Machi, aliyewahi kuwa mchezaji namba moja (kwa wanaume) duniani, Andy Murray anatarajia kuanza kujifua wikiendi hii. Murray atasafiri kuelekea Rome-Italia ambapo anatarajia …

