Makala nyingine

Mashindano ya French Open 2021 yamemalizika rasmi baada ya mchezo wa Novak Djokovic vs Stefano Tsitsipas kwenye fainali. Licha ya kuanza mchezo kwa kupoteza seti 2 za mwanzo, Djokovic alirejea …

Hatimaye mashindano ya French Open 2021 kufikia tamati wikiendi hii. Upande wa wanaume, Novak Djokovic atachuana na Stefano Tsitsipas kwenye fainali. Djokovic alikuwa uwanjani kuchuana na mpinzani wake wa muda …

Mambo yamemuendelea vibaya Coco Gauff (miaka 17) kwenye mchezo wa robo fainali ya Roland Garros. Atolewa nje kishujaa. Gauff alikuwa uwanjani akichuana na Barbora Krejcikova katika mchezo wa robo fainali …

Katika hali isiyo ya kawaida au pengine mashabiki wengi hawakutegemea, Serena Williams atolewa kwenye mashindano ya French Open 2021. Williams alikuwa akichuana na Elena Rybakina katika mchezo wa mzunguko wa …

Mwanadada mcheza tennis namba mbili kwa ubora duniani Naomi Osaka amefikia hatua ya kujiondoa kwenye mashindano ya French Open kwa madai ya kuwa vyombo vya habari vinamuharibu kiakili. Wiki moja …

Bado matokeo yanaendelea kwenye kinyume na uwezo wa Serena Williams kuelekea mashindano ya French Open. Baada ya kutolewa mapema kwenye mashindano ya Italian Open, Williams alikubali kupewa kadi maalumu ya …

Baada ya kukaa nje ya uwanja toka mwezi Machi, aliyewahi kuwa mchezaji namba moja (kwa wanaume) duniani, Andy Murray anatarajia kuanza kujifua wikiendi hii. Murray atasafiri kuelekea Rome-Italia ambapo anatarajia …

Hali sio shwari nchini Ufaransa kufuatia ongezeko la visa vya COVID-19. Mashindano ya French Open 2021, hatarini kughairishwa. Taarifa hii inatokana na tamko la waziri wa Michezo wa Ufaransa, Roxana …

1 2