Baada ya kukaa nje ya uwanja toka mwezi Machi, aliyewahi kuwa mchezaji namba moja (kwa wanaume) duniani, Andy Murray anatarajia kuanza kujifua wikiendi hii. Murray atasafiri kuelekea Rome-Italia ambapo anatarajia …
Makala nyingine
Pengine ni matokeo ambayo wengi hatukuyatarajia kwenye mashindano ya Miami Open 2021. Upande wa wanawake, Naomi Osaka amefungashiwa virago vyake huku Daniil Medvedev akiungana naye kwa upande wa wanaume. Osaka …
Mambo yanazidi kunoga kunako mchezo wa tenesi. Mashindano ya Miami Open, 2021 yanaendelea kushika hatamu. Kushinda na kushindwa zote ni sehemu za mchezo. Mjapan, Naomi Osaka ameendelea kuwa mwiba kwa …
Mambo yanazidi kunoga kwenye mchezo wa tenesi. Safari hii tunaangazia mashindano ya Miami Open 2021. Mzunguko wa tatu umekuwa na matokeo ya aina yake, wengine wanafuzu huku wengine wakifungasha virago …