HABARI ZAIDI
Roger Federer Atangaza Kustaafu
Mchezaji nguli wa Tennis Roger Federer ametangaza kuachana na mchezo huo na kwamba mashindano ya ATP TOUR ya Laver Cup yatakuwa ya mwisho kwake...
Novak Djokovic Ajiondoa Kwenye Mashindano ya Indian Wells
Mchezaji namba moja wa tenesi duniani Novak Djokovic hatakuwepo kwenye viunga vya BNP Paribas Open kwenye Indian Wells , ambayo yataanza oktoba 4, awali...
US Open: Medvedev Bingwa 2021.
Ilikua ni kama ndoto ambayo sasa ni uhalisia, Daniil Medvedev atwaa ubingwa wa US Open 2021 mbele ya Novak Djokovic.
Pengine hakuna aliyemdhania Medvedev kwenye...
US Open 2021: Djokovic vs Medvedev Fainali.
Baada ya kukuru kakara za mashindano ya US Open kuanzia hatua za awali, hatimaye miamba miwili kuchuana kwenye fainali Jumapili hii. Djokovic vs Medvedev!
Mchezaji...
US Open Final: Raducanu vs Fernandez
Ni ukweli usiopingika, unaposikia mchezo wa tenesi, unafikiria majina kama Naomi Osaka na Serena Williams. Safari hii, fainali ya US Open imekuja na majina...
US Open: Djokovic vs Zverev Nusu Fainali
Mambo yanapamba moto kunako mashindano ya US Open 2021. Novak Djokovic, uso kwa uso na Alexander Zverev ijumaa hii.
Djokovic ananafasi ya kulipa kisasi kwa...
US Open: Medvedev Atinga Nusu Fainali
Baada ya kupoteza mchezo wa fainali ya US Open 2019, hii ni nafasi kwa Daniil Medvedev kurekebisha makosa na kunyanyua kombe, itawezekana?
Medvedev alitinga fainali...
US Open: Djokovic Chupuchupu Kutolewa.
Ni muendelezo wa michezo ya tenesi kunako kalenda ya mwaka 2021, safari hii, US Open inaendelea kuunguruma kule Marekani. Mambo ni moto viwanjani.
Mchezaji namba...
US Open: Murray, Djokovic Ndani ya Nyumba!
Kuelekea moja ya mashindano makubwa kwenye ulimwengu wa tenesi. Djokovic na Murray kushiriki mashindano ya US Open.
Andy Murray anapata nafasi ya kuingia kwenye mashindano...
Dominic Thiem Kuikosa Wimbledon
Bingwa wa US Open - Dominic Thiem, amechukua uamuzi wa kujitoa kwenye mashindano ya Wimbledon baada ya kupata majeruhi.
Mashindano ya Wimbledon yanatarajiwa kuanza kutimua...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Kesheni milahula on Ligi 10 Bora Barani Africa 2022.
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Hatua za Kujisajili Meridianbet | Unapewa Zawadi ya Ukaribisho
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu