Mchezaji nguli wa Tennis Roger Federer ametangaza kuachana na mchezo huo na kwamba mashindano ya ATP TOUR ya Laver Cup yatakuwa ya mwisho kwake na pia hatocheza mashindano yoyote makubwa …
Makala nyingine
Mchezaji namba moja wa tenesi duniani Novak Djokovic hatakuwepo kwenye viunga vya BNP Paribas Open kwenye Indian Wells , ambayo yataanza oktoba 4, awali Djokovi alikuwepo kwenye listi kabla ya …
Ilikua ni kama ndoto ambayo sasa ni uhalisia, Daniil Medvedev atwaa ubingwa wa US Open 2021 mbele ya Novak Djokovic. Pengine hakuna aliyemdhania Medvedev kwenye mchezo wa fainali, lakini lolote …
Baada ya kukuru kakara za mashindano ya US Open kuanzia hatua za awali, hatimaye miamba miwili kuchuana kwenye fainali Jumapili hii. Djokovic vs Medvedev! Mchezaji bora wa dunia (wanaume), Novak …
Ni ukweli usiopingika, unaposikia mchezo wa tenesi, unafikiria majina kama Naomi Osaka na Serena Williams. Safari hii, fainali ya US Open imekuja na majina mapya! Wakati dunia ikiendelea kutafuta suluhisho …
Mambo yanapamba moto kunako mashindano ya US Open 2021. Novak Djokovic, uso kwa uso na Alexander Zverev ijumaa hii. Djokovic ananafasi ya kulipa kisasi kwa Zverev baada ya wawili hapa …
Baada ya kupoteza mchezo wa fainali ya US Open 2019, hii ni nafasi kwa Daniil Medvedev kurekebisha makosa na kunyanyua kombe, itawezekana? Medvedev alitinga fainali yake ya kwanza ya Grand …
Ni muendelezo wa michezo ya tenesi kunako kalenda ya mwaka 2021, safari hii, US Open inaendelea kuunguruma kule Marekani. Mambo ni moto viwanjani. Mchezaji namba 1 kwa ubora duniani (wanaume), …
Kuelekea moja ya mashindano makubwa kwenye ulimwengu wa tenesi. Djokovic na Murray kushiriki mashindano ya US Open. Andy Murray anapata nafasi ya kuingia kwenye mashindano haya baada ya Stan Wawrinka …
Bingwa wa US Open – Dominic Thiem, amechukua uamuzi wa kujitoa kwenye mashindano ya Wimbledon baada ya kupata majeruhi. Mashindano ya Wimbledon yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi jumatatu ijayo na yatadumu …
Mchezaji wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic ameifikia rekodi ya mchezaji mwenzake raia wa Hispania, Roger Federer ya kuwa mchezaji wa 1 duniani kwa muda wa wiki 310. Djokovic …
Bingwa mara 3 wa Grand Slam, Naomi Osaka, amewekeza kwenye soka la wanawake. Hii ni baada ya kuwa na umiliki kwenye timu ya North Carolina Courage. North Carolina Courage ni …
Licha ya mwaka 2020 kuwa na matukio mbalimbali ya kuhuzunisha, kufurahisha, kushtusha na kadhalika. Tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka 2020, tuyatizame matukio 5 ya kukumbukwa katika mwaka 2020. Baada ya …
Kunako mashindano ya French Open, bingwa wa US Open – Thiem, magwiji – Rafael Nadal na Serena Williams waanza kwa kishindo. Bingwa mara 12 wa French Open – Rafael Nadal, …
Kunako mashindano ya Italian Open, bingwa namba 1 duniani – Novak Djokovic, amefuzu hatua ya fainali baada ya ushindi dhidi ya Casper Ruud. Djokovic ameibuka mshindi baada ya kumaliza mchezo …
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. US Open 2020 imemalizika kwa namna ya kipekee, michezo ya fainali ilikuwa na burudani ya aina yake. Thiem na Osaka mabingwa wapya wa Mashindano haya. Kwa …
Mjerumani Alexander Zverev kwa mara ya kwanza amefuzu fainali ya Grand Slam kwenye Mashindano ya US Open. Mchezo wa nusu fainali ulimkutanisha Alexander dhidi ya Mhispania Pablo Carreno Busta. Busta …