Taylor Fritz amejinyakulia ushindi huo huku Marekani ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Italia katika fainali ya Kombe la United. Jessica Pegula na Frances Tiafoe walifungua njia …
Makala nyingine
Inaonekana Malkia wa Tenisi bado hayuko tayari kuachia kiti chake cha enzi. Katika mkutano huko Silicon Valley wiki hii, Serena Williams alitania kurejea kwenye tenisi ya ushindani, akifanya hivyo kwa …
Nguli wa mchezo wa tenesi duniani Roger Federer ambae ametangaza kustaafu mchezo huo siku kadhaa nyuma inaelezwa atacheza mchezo wake wa mwisho ijumaa hii. Nyota huyo anatarajiwa kucheza kwenye mashindano …
Mchezaji nguli wa Tennis Roger Federer ametangaza kuachana na mchezo huo na kwamba mashindano ya ATP TOUR ya Laver Cup yatakuwa ya mwisho kwake na pia hatocheza mashindano yoyote makubwa …
Mchezaji namba moja wa tenesi duniani Novak Djokovic hatakuwepo kwenye viunga vya BNP Paribas Open kwenye Indian Wells , ambayo yataanza oktoba 4, awali Djokovi alikuwepo kwenye listi kabla ya …
Ilikua ni kama ndoto ambayo sasa ni uhalisia, Daniil Medvedev atwaa ubingwa wa US Open 2021 mbele ya Novak Djokovic. Pengine hakuna aliyemdhania Medvedev kwenye mchezo wa fainali, lakini lolote …
Baada ya kukuru kakara za mashindano ya US Open kuanzia hatua za awali, hatimaye miamba miwili kuchuana kwenye fainali Jumapili hii. Djokovic vs Medvedev! Mchezaji bora wa dunia (wanaume), Novak …
Ni ukweli usiopingika, unaposikia mchezo wa tenesi, unafikiria majina kama Naomi Osaka na Serena Williams. Safari hii, fainali ya US Open imekuja na majina mapya! Wakati dunia ikiendelea kutafuta suluhisho …
Mambo yanapamba moto kunako mashindano ya US Open 2021. Novak Djokovic, uso kwa uso na Alexander Zverev ijumaa hii. Djokovic ananafasi ya kulipa kisasi kwa Zverev baada ya wawili hapa …
Baada ya kupoteza mchezo wa fainali ya US Open 2019, hii ni nafasi kwa Daniil Medvedev kurekebisha makosa na kunyanyua kombe, itawezekana? Medvedev alitinga fainali yake ya kwanza ya Grand …
Ni muendelezo wa michezo ya tenesi kunako kalenda ya mwaka 2021, safari hii, US Open inaendelea kuunguruma kule Marekani. Mambo ni moto viwanjani. Mchezaji namba 1 kwa ubora duniani (wanaume), …
Kuelekea moja ya mashindano makubwa kwenye ulimwengu wa tenesi. Djokovic na Murray kushiriki mashindano ya US Open. Andy Murray anapata nafasi ya kuingia kwenye mashindano haya baada ya Stan Wawrinka …
Bingwa wa US Open – Dominic Thiem, amechukua uamuzi wa kujitoa kwenye mashindano ya Wimbledon baada ya kupata majeruhi. Mashindano ya Wimbledon yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi jumatatu ijayo na yatadumu …
Mchezaji wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic ameifikia rekodi ya mchezaji mwenzake raia wa Hispania, Roger Federer ya kuwa mchezaji wa 1 duniani kwa muda wa wiki 310. Djokovic …
Bingwa mara 3 wa Grand Slam, Naomi Osaka, amewekeza kwenye soka la wanawake. Hii ni baada ya kuwa na umiliki kwenye timu ya North Carolina Courage. North Carolina Courage ni …
Licha ya mwaka 2020 kuwa na matukio mbalimbali ya kuhuzunisha, kufurahisha, kushtusha na kadhalika. Tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka 2020, tuyatizame matukio 5 ya kukumbukwa katika mwaka 2020. Baada ya …
Kunako mashindano ya French Open, bingwa wa US Open – Thiem, magwiji – Rafael Nadal na Serena Williams waanza kwa kishindo. Bingwa mara 12 wa French Open – Rafael Nadal, …

