US Open

HABARI ZAIDI

Roger Federer Atangaza Kustaafu

0
Mchezaji nguli wa Tennis Roger Federer ametangaza kuachana na mchezo huo na kwamba mashindano ya ATP TOUR ya Laver Cup yatakuwa ya mwisho kwake...

Novak Djokovic Ajiondoa Kwenye Mashindano ya Indian Wells

0
Mchezaji namba moja wa tenesi duniani Novak Djokovic hatakuwepo kwenye viunga vya BNP Paribas Open kwenye Indian Wells , ambayo yataanza oktoba 4, awali...

US Open: Medvedev Bingwa 2021.

0
Ilikua ni kama ndoto ambayo sasa ni uhalisia, Daniil Medvedev atwaa ubingwa wa US Open 2021 mbele ya Novak Djokovic. Pengine hakuna aliyemdhania Medvedev kwenye...

US Open 2021: Djokovic vs Medvedev Fainali.

0
Baada ya kukuru kakara za mashindano ya US Open kuanzia hatua za awali, hatimaye miamba miwili kuchuana kwenye fainali Jumapili hii. Djokovic vs Medvedev! Mchezaji...

US Open Final: Raducanu vs Fernandez

0
Ni ukweli usiopingika, unaposikia mchezo wa tenesi, unafikiria majina kama Naomi Osaka na Serena Williams. Safari hii, fainali ya US Open imekuja na majina...

US Open: Djokovic vs Zverev Nusu Fainali

0
Mambo yanapamba moto kunako mashindano ya US Open 2021. Novak Djokovic, uso kwa uso na Alexander Zverev ijumaa hii. Djokovic ananafasi ya kulipa kisasi kwa...

US Open: Medvedev Atinga Nusu Fainali

0
Baada ya kupoteza mchezo wa fainali ya US Open 2019, hii ni nafasi kwa Daniil Medvedev kurekebisha makosa na kunyanyua kombe, itawezekana? Medvedev alitinga fainali...

US Open: Djokovic Chupuchupu Kutolewa.

0
Ni muendelezo wa michezo ya tenesi kunako kalenda ya mwaka 2021, safari hii, US Open inaendelea kuunguruma kule Marekani. Mambo ni moto viwanjani. Mchezaji namba...

US Open: Murray, Djokovic Ndani ya Nyumba!

0
Kuelekea moja ya mashindano makubwa kwenye ulimwengu wa tenesi. Djokovic na Murray kushiriki mashindano ya US Open. Andy Murray anapata nafasi ya kuingia kwenye mashindano...

Dominic Thiem Kuikosa Wimbledon

0
Bingwa wa US Open - Dominic Thiem, amechukua uamuzi wa kujitoa kwenye mashindano ya Wimbledon baada ya kupata majeruhi. Mashindano ya Wimbledon yanatarajiwa kuanza kutimua...