Mchezaji wa tenisi – Andy Murray amekiri kupungua kasi yake wakati huu anaotizamia kurejea kwenye Mashindano ya ATP Tour wikiendi hii. Bingwa mara 2 wa Wimbledon– [Andy]Murray atakutana na Mmarekani …
Makala nyingine
Utafiti uliofanywa na jarida la Forbes, umeonesha wachezaji wanawake wanaocheza mchezo wa Tennis ni miongoni mwa wanamichezo matajiri duniani. Katika orodha ya wachezaji 10, 9 wanacheza mchezo wa Tennis wakati …
Tennis (tenisi) ni aina ya mchezo unaochezwa na watu wawili au wanne wakishindana kwa kupiga mpira mdogo kwa raketi kwenye uwanja wa tennis. Shabaha ni kupiga mpira kwa upande wa …
Serena Williams mwenye umri wa miaka 38 alipata majeraha mwaka 2019 lakini alipona na kufanikiwa kushiriki fainali za mwaka uliopita wa 2019 katika jiji la New York nchini Marekani, mashindano …
Roger Federer atakua nnje ya viwanja vya Tennis kwa mwaka wote wa 2020 kutokana na kupata majeraha ya goti lake la mguu wa kulia, Jeraha hilo lililopelekea Federer kufanyiwa upasuaji …
Mwana michezo wa mchezo wa Tennis Andy Murray amepanga kucheza shindano la kujitolea lililo andaliwa na kaka yake Jamie ambalo litasaidia kuchangia pesa kwenye Idara ya Afya ya Uingereza. Pambano …
Mkali wa mchezo wa tenisi duniani, Novak Djokovic amesema kwamba yeye atakwenda kinyume na suala la wao kulazimishwa kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa Corona ambao umeibuka ili kushiriki michuano yao! …
Ama kwa hakika kwenye nia pana njia, ndiyo maneno ya Wahenga yenye maana kuwa na nia ni nguzo muhimu katika kuyafikia malengo yako. Bwana Richard William, baba wa wachezaji maarufu …
Mwana michezo wa mchezo wa Tenisi mwenye Asili ya marekani Coco Gauff anapitia kipindi kigumu cha tatizo la kisaikolojia lililotokana na kukua gafla kwa umarufu wake wa haraka kwenye mchezo …
Kwa mara ya kwanza tangu vita ya pili ya dunia, mashindano ya tennis ya Wimbledon hayatakuwepo mwaka huu kutokana na janga la Virusi vya Corona(covid19). Mashindano ya Wimbledon yalitakiwa kuchezwa …
Mara nyingi wadhamini huwa na mchango mkubwa sana kwenye maendeleo ya mchezaji hasa katika kujenga wasifu wake. Jambo hilo mara nyingi huwafanya wachezaji wengi kuhangaika nalo ili angalau waweze kuwa …
Nyota wa tenisi, Roger Federer amekumbushia historia yake ya maisha ya tenisi kwa miaka 15 iliyopita siku alipokutana kwa mara ya kwanza uwanjani na Rafael Nadal na alipopoteza mechi …