Makala nyingine

Nyota kutokea nchini Hispania Rafael Nadal ametua kwenye jiji la Melbourbe nchini Australia ili kushiriki michuano ya Australian Open baada ya kupona ugonjwa wa Uviko-19 nyota huyo wa kutokea Hispania …

Mchezaji namba 1 kwa ubora (wanawake) duniani, Ashleigh Barty, ameamua kumaliza msimu wa 2021 mapema kwa malengo binafsi. Barty alikuwa aingie uwanjani mwezi ujao kutetea taji lake la WTA lakini, …

Imekuwa kama ngekewa kwa Johanna Konta kuelekea mashindano ya Wimbledon 2021. Maambukizi ya COVID19, yanaendelea kuharibu mipango ya wachezaji. Kwenye soka, baadhi ya wachezaji wamejikuta wakitengwa na wachezaji wenzao baada …

Bondia muingereza Amir Khan ameibuka na kumuonya bondia mwenzake Conor Benn kuhusu pambano lake na Samuel Vargas jioni ya leo. Amir Khan amemwambia Benn kuwa makini akiwa anapigana na bondia …

Pengine ni matokeo ambayo wengi hatukuyatarajia kwenye mashindano ya Miami Open 2021. Upande wa wanawake, Naomi Osaka amefungashiwa virago vyake huku Daniil Medvedev akiungana naye kwa upande wa wanaume. Osaka …

Mambo yanazidi kunoga kunako mchezo wa tenesi. Mashindano ya Miami Open, 2021 yanaendelea kushika hatamu. Kushinda na kushindwa zote ni sehemu za mchezo. Mjapan, Naomi Osaka ameendelea kuwa mwiba kwa …

Mchezaji wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic ameifikia rekodi ya mchezaji mwenzake raia wa Hispania, Roger Federer ya kuwa mchezaji wa 1 duniani kwa muda wa wiki 310. Djokovic …

Bingwa mara 3 wa Grand Slam, Naomi Osaka, amewekeza kwenye soka la wanawake. Hii ni baada ya kuwa na umiliki kwenye timu ya North Carolina Courage. North Carolina Courage ni …

Mashindano ya Indian Wells yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Machi 2021, yameghairishwa kutokana na mlipuko wa COVID19 kwa mujibu wa ATP. Ukiachana na mashindano ya Grand Slams kwenye mchezo wa tenesi, Indian …

Mashindano ya Western and Southern Open yanaendelea kutimua vumbi mjini Cincinnati – Marekani. Novak Djokovic na Johanna Konta wanaendelea kuwaburuza wapinzani wao na sasa wamefuzu hatua ya nusu fainali. Katika …

Muingereza [Andy] Murray amerejea kwa kishindo katika Mashindano ya Western and Southern Open yanayoendelea mjini New York – Marekani. Kwa mara ya kwanza toka mwaka 2017 Andy amepambana na moja …

Baada ya kurejea tena kwenye ushindani kunako mchezo wa tenisi. Mwanamama Serena [Williams] ameendelea kuonesha uwezo wake kunako Mashindano ya Western and Southern Open. Katika mchezo ambao ulikuwa wenye ushindani …

Utafiti uliofanywa na jarida la Forbes, umeonesha wachezaji wanawake wanaocheza mchezo wa Tennis ni miongoni mwa wanamichezo matajiri duniani. Katika orodha ya wachezaji 10, 9 wanacheza mchezo wa Tennis wakati …

Imani ya kuweka rekodi ya kuwa bingwa wa ‘Grand Slam’ mara 24 inaendelea kukua kwa mwanamama Serena William – amenukuliwa aliyekuwa mchezaji bora namba 3 duniani – Pam Shriver. Serena …

Baada ya kusimama kwa michezo mbalimbali duniani kutokana na mlipuko wa Corona. Michuano ya US Open 2020 inarejea na safari hii, mtaalamu Novak Djokovic atakuwepo. Djokovic amethibitisha kucheza michuano hiyo …

Tennis (tenisi) ni aina ya mchezo unaochezwa na watu wawili au wanne wakishindana kwa kupiga mpira mdogo kwa raketi kwenye uwanja wa tennis. Shabaha ni kupiga mpira kwa upande wa …

1 2
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.