Makala nyingine

Nyota kutokea nchini Hispania Rafael Nadal ametua kwenye jiji la Melbourbe nchini Australia ili kushiriki michuano ya Australian Open baada ya kupona ugonjwa wa Uviko-19 nyota huyo wa kutokea Hispania …

Mchezaji namba 1 kwa ubora (wanawake) duniani, Ashleigh Barty, ameamua kumaliza msimu wa 2021 mapema kwa malengo binafsi. Barty alikuwa aingie uwanjani mwezi ujao kutetea taji lake la WTA lakini, …

Imekuwa kama ngekewa kwa Johanna Konta kuelekea mashindano ya Wimbledon 2021. Maambukizi ya COVID19, yanaendelea kuharibu mipango ya wachezaji. Kwenye soka, baadhi ya wachezaji wamejikuta wakitengwa na wachezaji wenzao baada …

Bondia muingereza Amir Khan ameibuka na kumuonya bondia mwenzake Conor Benn kuhusu pambano lake na Samuel Vargas jioni ya leo. Amir Khan amemwambia Benn kuwa makini akiwa anapigana na bondia …

Pengine ni matokeo ambayo wengi hatukuyatarajia kwenye mashindano ya Miami Open 2021. Upande wa wanawake, Naomi Osaka amefungashiwa virago vyake huku Daniil Medvedev akiungana naye kwa upande wa wanaume. Osaka …

Mambo yanazidi kunoga kunako mchezo wa tenesi. Mashindano ya Miami Open, 2021 yanaendelea kushika hatamu. Kushinda na kushindwa zote ni sehemu za mchezo. Mjapan, Naomi Osaka ameendelea kuwa mwiba kwa …

Mchezaji wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic ameifikia rekodi ya mchezaji mwenzake raia wa Hispania, Roger Federer ya kuwa mchezaji wa 1 duniani kwa muda wa wiki 310. Djokovic …

Bingwa mara 3 wa Grand Slam, Naomi Osaka, amewekeza kwenye soka la wanawake. Hii ni baada ya kuwa na umiliki kwenye timu ya North Carolina Courage. North Carolina Courage ni …

Mashindano ya Indian Wells yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Machi 2021, yameghairishwa kutokana na mlipuko wa COVID19 kwa mujibu wa ATP. Ukiachana na mashindano ya Grand Slams kwenye mchezo wa tenesi, Indian …

Mashindano ya Western and Southern Open yanaendelea kutimua vumbi mjini Cincinnati – Marekani. Novak Djokovic na Johanna Konta wanaendelea kuwaburuza wapinzani wao na sasa wamefuzu hatua ya nusu fainali. Katika …

Muingereza [Andy] Murray amerejea kwa kishindo katika Mashindano ya Western and Southern Open yanayoendelea mjini New York – Marekani. Kwa mara ya kwanza toka mwaka 2017 Andy amepambana na moja …

Baada ya kurejea tena kwenye ushindani kunako mchezo wa tenisi. Mwanamama Serena [Williams] ameendelea kuonesha uwezo wake kunako Mashindano ya Western and Southern Open. Katika mchezo ambao ulikuwa wenye ushindani …

Utafiti uliofanywa na jarida la Forbes, umeonesha wachezaji wanawake wanaocheza mchezo wa Tennis ni miongoni mwa wanamichezo matajiri duniani. Katika orodha ya wachezaji 10, 9 wanacheza mchezo wa Tennis wakati …

Imani ya kuweka rekodi ya kuwa bingwa wa ‘Grand Slam’ mara 24 inaendelea kukua kwa mwanamama Serena William – amenukuliwa aliyekuwa mchezaji bora namba 3 duniani – Pam Shriver. Serena …

Baada ya kusimama kwa michezo mbalimbali duniani kutokana na mlipuko wa Corona. Michuano ya US Open 2020 inarejea na safari hii, mtaalamu Novak Djokovic atakuwepo. Djokovic amethibitisha kucheza michuano hiyo …

Tennis (tenisi) ni aina ya mchezo unaochezwa na watu wawili au wanne wakishindana kwa kupiga mpira mdogo kwa raketi kwenye uwanja wa tennis. Shabaha ni kupiga mpira kwa upande wa …

1 2