Tetesi zinasema Arsenal imesaidiwa katika harakati zake za kumsajili kiungo wa kati wa Uturuki Yusuf Yazici baada ya ajenti wake kukiri kwamba mchezaji huyo huenda akaondoka katika klabu ya Lille.
Kipa wa klabu ya Manchester United Dean Henderson, 23, atafuatilia uhamisho wake wa mkopo ili kuimarisha hadhi yake katika kushiriki kombe la mabingwa Ulaya huku klabu za Leeds na Brightong zikihusishwa na ununuzi wa mchezaji huyo mwezi Januari.
Tetesi zinasema Manchester City imesitisha harakati zake za kutaka kumsajili mshambuliaji nyota wa Barcelona Lionel Messi, 33, kulingana na mtaalamu wa soka wa Uhispania Semra Hunter.

Mshambuiaji wa Ufaransa Olivier Giroud, 34, amekiri kukosa muda wa kushiriki katika mechi Chelsea kunamtia wasiwasi na kwamba huenda akafanya maamuzi kuhusu hatma yake ya siku zijazo mwezi Januari.
Tetesi zinasema Aliyekuwa kiungo wa kati wa Tottenham Christian Eriksen, 28, yuko huru kuondoka Inter Milan mwezi Januari , afisa mkuu wa klabu hiyo ya Itali Beppe Marotta amethibitisha.
Tetesi zinasema Chris Wilder, ambaye klabu yake ya Sheffield United ipo chini ya jedwali la ligi ya premia ikiwa na pointi moja pekee anasisitiza kwamba haogopi kufutwa kazi.
Jeraha la mguu la beki wa Barcelona na Uhispania Gerard Pique, 33, huenda likabadilisha jinsi klabu hiyo itakavyomtafuta beki mwengine mwezi Januari kujaza pengo lake.

Tetesi zinasema katibu wa kwanza wa kiufundi wa klabu ya Barcelona Ramon Planes atakutana na kocha mkuu Ronald Koeman ili kujadili kuhusu usajili wa beki.
Kiungo wa kati wa Rennes na Ufaransa Eduardo Camavinga, 21, amehusishwa na uhamisho kuelekea Tottenham na anakiri angependelea uhamisho wa kujiunga na klabu kuu ijapokuwa anafurahia kusalia katika klabu.
Kiungo wa kati wa Ufaransa Matteo Guendouzi, 21, ambaye yuko kwa mkopo katika klabu ya Hertha Berlin, anadai kwamba amepata motisha aliyopoteza chini ya mkufunzi Mikel Arteta akiwa Arsenal.
Kiungo wa kati wa West Ham na Uingereza Declan Rice amekiri kwamba kuachiwa na Chelsea akiwa umri wa miaka 14 kulimnufaisha kama mchezaji.
Hadi 130,000,000 Tsh kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.




Tatu
Mess awezi kwenda man city
Elika
Itakuwa vizuri sana eriksen akiondoka hapo inter Milan na kwenda kuangalia ustaarabu sehemu nyingine
Angelina
Nice update
magdalena
arsenal wamefanya vyema sana kumsajili uyo kiungo ili waweze kukiinua kikosi chao
Shakila mrope
Atakavyoona yeye abaki au sending
Lydia Emmanuel Magoti
Arsenal wamefanya vyema Sana kumsajiri kiungo huyo aje akimalishe kikosi
Salma ngende
Uwamuzi in wake
Fatuma kasomo
Atakavyoona yeye
Antony Luseno
Nice update
Adelta
Nice information
Sania
Asante kwa makala bomba
Ester jackson
Declan Rice maisha ni popote haujui wapi ambapo kutakufanya ukawa na furaha
Sarah
Maamuzi yake yy mwenyewe
Tatu
Nice
Mwajumah
Uwamuzi ni wake
Rahma
Nice
Fatina mfingi
Nice
lombo
habar njema
Rehema
Good
Hopemwaikuka
Haya tetes mda mwngne zna ukwel ndan yake
Povel
Nice update
aisha
Maamuzi niyake mwenyewe
Saupha mohamed
Maamuzi ni yake
Issa
Safi sana kwa hili
Sauda
Taarifa iko poa
samiah
SAfi
warda
Tetesi ziko poa