Tetesi zinasema mshambuliaji wa Juventus na Argentina Paulo Dybala, 27, amepata ofa za timu kubwa sita za ligi ya Epl, Manchester United, Liverpool, Chelsea, Tottenham, Manchester City na Arsenal.
Tetesi zinasema Manchester United inamfuatilia mlinzi wa Kiingereza wa Atletico Madrid Kieran Trippier, 30, huku Ole Gunnar Solskjaer akimuhitaji pia kwa ajili ya kumpa changamoto Aaron Wan-Bissaka, 23.
Kiungo wa kati wa Arsenal Mesut Ozil, 32, anaamini kuwa ataweza kupata klabu nyingine bora – lakini ana uwezekano wa kuondoka kabla ya msimu ujao.
Tetesi zinasema Manchester United imeibuka kuwa kinara katika kinyang’anyiro cha kupata saini ya kiungo wa kati wa Argentina Thiago Almada, 19, wa Velez Sarsfield.
Tetesi zinaseama kiungo wa kati wa Liverpool, Mholanzi Georgio Wijnaldum, 30, amedokeza kuwa anasubiri klabu ichukue hatua kuhusu kuongeza mkataba wake.
Arsenal inaweza kulazimika kuharakisha uhamisho wa Dominik Szoboszlai wakati wa dirisha la Januari baada ya habari kuibuka kuwa Real Madrid wamepanga kutoa kitita cha fedha kwa ajili ya kiungo wa kati wa Hungary anayekipiga Salzburg.
Wadhamini wa shati wa Manchester United Chevrolet wanaamini itakuwa jambo la thamani kibiashara kusaidia kufadhili hatua ya kumrejesha, Old Trafford mshambuliaji wa Juventus na Ureno Cristiano Ronaldo, 35.
Mkurugenzi wa michezo wa Paris St-Germain Leonardo ameondoa matarajio ya klabu kumsajili kiungo mchezeshaji wa Argentina Lionel Messi ikiwa mchezaji huyo wa miaka 33 ataondoka Barcelona mwakani.
West Ham ni miongoni mwa vilabu vingi vya England na Ureno vinavyomtolea macho mchezaji wa zamani wa Tottenham Marcus Edwards, winga wa Uingereza mwenye umri wa miaka 22 sasa anaichezea Vitoria Guimaraes.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
warda
Paulo anabahati sana Matimu makubwa yote yanamtafuta yeye
Rahma
Shukrani kwa taalifa
Lydia Emmanuel Magoti
Hiko poa
Tatu
Man u wameamua kuipata sain ya kiungo Argentina thiago
Adelta
Hii kwa paulo iko vizuri
Ernest
Habari ya mjini ni ya CR7 kurudi Man U na Messi kutua Mancity
Sarah
Iko vzr
Shakila mrope
Iko ok
samiah
Gud
Janeflora malisa
Safi
Dorophina
Paulo bora haende tu man u
Issa
Dyabenga njoo united
Hopemwaikuka
Dybala akienda Man itakua poa sana
Neema
Tetesi hizi ziko poaa
Amani
Pale dyabala kule Bruno itaipenda tu man u
Saupha mohamed
Safi
Ester jackson
Good news
Theckla
Imekaa poa
Magdalena
Dybala aangalie wapi panamfaa
Sabrina
Taarifa zimetulia
Fatina mfingi
Nice
[email protected]
Mnyama cr7 ndani ya traford again
aisha
Imetulia sana