Tetesi za Soka Barani Ulaya.


 

Tetesi zinasema kiungo wa kati wa England Dele Alli, 24, huenda akaondoka Spurs wakati Pochettino atakapojiunga na klabu ya Ligue 1.

Pochettino pia anataka kumleta mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 33, Paris St-Germain endapo atachukua nafasi ya Tuchel.

Tetesi zinasema Chelsea wanachuana na Real Madrid, Bayern Munich, Manchester United na Manchester City katika kinyang’anyiro cha kumsaka mshambuliaji wa Borussia Dortmund na Norway Erling Braut Haaland, 20.

 

Haaland: Nitarejea Mapema Tu!

Tetesi zinasema Juventus na AC Milan wameingi akatika kinyang’anyiro cha kumsaka mshabuliaji wa Celtic Mfaransa Odsonne Edouard, 22.

Mkufunzi wa Liverpool Jurgen Klopp amemwambia mshambuliaji wa Misri Mohamed Salah sababu pekee ya kuondoka Ligi ya Primia ni hali ya hewa lakini amekubali kuwa klabu hiyo haiwezi kumlazimisha mchezaji kusalia nao bila hiari yake.

 

Tetesi zinasema Kiungo wa kati wa Arsenal Mjerumani Mesut Ozil, 32, amefanya mazungumzo ya siri na Fenerbahce katika juhudi za kutaka kuondoka Gunners.

Tetesi zinasema Ozil ana uhakika atarejeshwa katika kikosi cha kwanza cha Arsenal nusu ya pili ya msimu na hakuna uwezekano wa kuhamia Marekani.

 


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Haaland kawa kama pipi jamanii

    Jibu

    Chelsea awana maajabu

    Jibu

    Du ni utopolo tu Chelsea

    Jibu

    Chelsea bado sana

    Jibu

    Amna kitu hapo

    Jibu

    Chelsea wanatakiwa wajipange

    Jibu

    Chelsea wapo nyuma

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Chelsea wanayumbaa

    Jibu

    Chelsea bado bado

    Jibu

    Cherlsea wanakwama wapi

    Jibu

    Mess awez kwend psg

    Jibu

    Sherlsea jambo awana

    Jibu

    Naona vichekesho Barca wanamtaka Neymar PSG wanamtaka Messi

    Jibu

    Cherlsea wanaenda kujiamini

    Jibu

Acha ujumbe