Tetesi za Soka Barani Ulaya.


 

Tetesi zinasema mchezaji wa Argentina Lionel Messi, 33, huenda akasalia Barcelona hadi 2023 kabla ya kujiunga na klabu ya David Beckham, Inter Miami. Messi amenunua nyumba yenye thamani ya £7.25m mjini maimi na kwamba anadaiwa kutaka watoto wake kujiunga na shule Marekani.

Manchester United imedhamiria kumsajili beki wa Norwich Max Aarons , 20 lakini watalazimika kusubiri hadi msimu ujao kwa mchezaji huyo wa England anayeichezea timu ya wachezaji wasiodi umri wa miaka 21 England.

 

Tetesi zinasema Wolves wamejiunga katika kinyanganyiro cha kumsaini kiungo wa Liverpool na Uholanzi Georginio Wijnaldum, 30.

Emili Rousaud amesema kwamba atamsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund na Norway Erling Braut Haaland, 20, katika uwanja wa Nou Camp iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Barca.

Tetesi zinasema mchezaji anayelengwa na Arsenal Isco, amekiri kwamba angependa kuichezea klabu ya London Chelsea.

Tetesi zinasema Chelsea inataka kujiunga na Manchester United na Liverpool katika kinyanganyiro cha kumsaini winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Jadon Sancho

Beki wa Manchester United na Uholanzi Timothy Fosu-Mensah, 22, amekataa kandarasi mpya ya miaka mitatu na nusu.

Tetesi zinasema Marseille na Hertha Berlin zimejiandaa kulipa dau la chini la uhamisho ili kumsajili Fosu-Mensah mwezi ujao.

Tetesi zinasema Borussia Dortmund inataka kumsajili kinda wa Manchester City na Uholanzi Jayden Braaf, ambaye huenda akaruhusiwa kuondoka mwezi ujao.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

17 Komentara

    Tetesi zinasomeka kwa sababu manchester united anataka kumsajili beki wa norwich

    Jibu

    Asant kwa taarifa

    Jibu

    Messi kusalia Barcelona ni ngumu sana kwa wakati huu

    Jibu

    Tetesi ziko poaa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Anataka amalizie Maisha yake huko ipo siku atacheza timu moja na CR7

    Jibu

    Messi abakie tu barca amalizie mpira wake hapo

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Mess Barcelona ndio panamfaa

    Jibu

    Messi mbona ivyo sasa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Sancho anatikisa vichwa vya manguli

    Jibu

Acha ujumbe