Tetesi zinasema Manchester United wanataka kumsaini winga wa Ufaransa na Bayern Munich Kingsley Coman, 24.
Napoli wamekubali kulipa klabu ya Ufaransa ya Lille ada ya awali ya uero milioni 60 (£54.6m) kumpata mshambuliaji wa Nigeria Victor Osimhen, 21.
Barcelona wanajitahidi kumshawishi Ansu Fati, 17, asiondoke kwa kumpatia mkataba mpya ili kukatiza tamaa ya Manchester United kumsaka kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania.
Tetesi zinasema Everton na Leeds United wanamfuatilia kwa makini kipa wa Manchester United na Argentina Sergio Romero, 33, ambaye hajaridhishwa na nafasi yake ya sasa kama kipa wa ziada Old Trafford.
Watford wanatarajiwa kuongeza za kumuajiri kocha mpya baada ya hatma ya ligi ya Premia kuamuliwa huku Claude Puel, Marcelino, Zlatko Dalic na kocha wa Nottingham Forest, Sabri Lamouchi wakipigiwa upatu kuchukua nafasi hiyo.
Tetesi zinasema Nahodha wa zamani wa Tottenham Ledley King anajadiliana na klabu hiyo kuhusu uwezekano wa yeye kujumuishwa katika kikosi Jose Mourinho kama kocha.
West Ham wameongeza juhudi za kumsaka mshambuliaji wa Brentford na Algeria Said Benrahma, 24.
Roma wamechapisha picha ya mchezaji wao wa mkopo Chris Smalling, 30, katika jezi yao ya msimu ujao na wanaamini watafanikiwa kumsajili kwa mkataba wa kudumu beki huyo wa Manchester United na England.
Manchester United pia wameomba Lille kuwafahamisha kuhusu ofa zilizo wasilishwa kutaka kumnunua mchezaji wa Brazil Gabriel Magalhaes, 22, ambaye anauliziwa na Everton, Inter Milan na Napoli.
Real Madrid wanapania kukusanya jumla ya euro milioni 180 (£163m) msimu huu wa joto kwa kuwauza wachezaji wao- miongoni mwao – mshambuliaji wa kimataifa wa Wale Gareth Bale, 31, kiungo wa kati wa Colombia James Rodriguez, 29, na mshabuliaji wa Serbia Luka Jovic, 22.
Beki wa zamani wa Liverpool Jamie Carragher amesema Chelsea watashinda ligi ya Premia endapo watamnunua kipa wa Atletico Madrid na Slovenia Jan Oblak, 27, msimi huu.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
Ester jackson
Msimu huu wa kuuzwa wachezaji kwa bale imekuwa kama hana bahati sana kwa Mara nyingine anawekwa sokoni inavyoonekana real Madrid hawamtaki kikosini hapo ingewezekana wakala wake amtafutie mahali pengine akaendeleze kipaji chake cha soka.#meridianbettz
Zeiyana
Hitakua vizuri kama Barcelona watamzuhia ansu fati asiondoke clabuni hapo
aisha
Habari njema izo
Isaya massawe
Habari nzuri za michezo na meridianbet imekaa poa sana hii
Khadija
Habari njema#meridianbettz
Dorophina
Habari njema man u wakimsajili coman itakuwa poa sana
caroline
safi sana asanteni sana meridianbet kwa kutuhabarisha
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
Magdalena
United watakuwa wamefanya vyema wakimsajili uyu kiungo
Mwanahamisi
Habari njema
Tatu
Barcelona awawezi kumtoa mchezaji wao wanaomtegemea
Genia Sikaluzwe
Habari njema hizo
felister
sidhani Kama Barcelona watamruhusu ansu kuondoka
Sadick
Kesho msimu wa usajiri unaanza kesho na kuna timu zinahitaji kuimarisha vikosi vyao. Asu abaki tu Barcelona kujenga uwezo wake #meridianbettz
Fatina mfingi
Makala nzur
Frank Patrick
Chelsea ni back na kipa tu msimu ujao watasumbua sana la sivyo watakuwa wanafungika vizuri tu
Njiku
Safii hii
Saupha mohamed
Habari njema
devotha
asante kwa makala
Adelta
Hiyo Ni habari njema
Franky
Good news
Issa
Safi kwa united
Samiah
Gud news
Ernest
Ukweli umewekwa wzi sana na Club ya Madrid-Nadhani Bale na James Rodriguez watapata timu nzuri na kupata nafasi ya kucheza
Hope mwaikuka
Imeeleweka
Jullie
good news
lombo
gud news
Povel
Gud update
farida ahmadi
Habari njema Sana kwa mashabiki wa man United
Shafii
Gud news
Latifa juma mohamed
New updates.
Rehema
Makala mzuri
Amiri Kayera
Nic update
Theckla
Itakuwa ni Jambo jema Kama man u wakifanikiwa kumsajili
David Pere
Usajili upo Moto sanaa maana kila siku Mambo yanzidi kuwa maziri
Omary lukumbi
Habar njema hizo usajili umepamba moto ila ngoja tuone dirisha linafunguliwa kesho
mwajumah
Habari njema#Meridianbettz
Salma ngende
Habari nzuri
Gabriel
Safi
Furahav
Hii iko vizuri
sabrina
safi sana
warda
Mambo mazuri jamani kwa Usajili huu#Meridianbettz
Janeflora malisa
Nice