Tetesi zinasema, Arsenal imemsajili kiungo Martin Odegaard kutoka Real Madrid kwa pauni milioni 30 wakati kipa wa Sheffield United Aaron Ramsdale.
Mchezaji wa kimataifa wa Norway Odegaard, 22, alihudumia nusu ya pili ya msimu uliopita kwa mkopo kwenye uwanjani Emirates. Alicheza mechi 20 kwenye mashindano yote na alifunga mabao mawili.
Tetesi zinasema, Mkataba mpya wa Ramsdale una thamani ya pauni milioni 24 pamoja na pauni milioni 6 zaidi katika nyongeza.
Tetesi zinasema, Liverpool wanaandaa ofa mpya ya mkataba kwa mshambuliaji wa Misri, Mohamed Salah, 29, ambayo itakuwa ghali zaidi katika historia ya klabu.
Pierre-Emerick Aubameyang anafurahi kusalia Arsenal hata baada ya kipindi cha uhamisho. Barcelona ilisemekana kuwa na nia ya kumsajili mshambuliaji huyo wa Gabon lakini mchezaji huyo wa miaka 32 anataka kutimiza lengo lake la kuwa gwiji wa Gunners.
Tetesi zinasema, Brighton wapo kwenye mazungumzo na Benfica juu ya uhamisho wa pauni milioni 25 kwa mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez, 22.
Tetesi zinasema, Sheffield United inavutiwa kumsajili winga wa Manchester United na Ivory Coast, Amad Diallo, 19, kwa mkopo.
Mshambuliaji wa Chelsea Christian Pulisic amepatikana na virusi vya Corona na atakosa mchezo wa Jumapili wa Ligi Kuu dhidi ya Arsenal.
Maskauti wa Manchester United wameonekana nchini Ureno wakiangalia ushindi wa mchujo wa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa wa Benfica dhidi ya PSV Eindhoven huko Estadio da Luz.
Ni muda wa kuwa milionea na kasino za mtandaoni za meridianbet, mchezo wa Sahara Riches unakupa nafasi ya kushinda mkwanja mrefu. Matajiri wa jangwani wanataka wakupe mkwanja leo.
Sarah
Ziko poa tetesi