Tetesi zinasema Rais wa Napoli Aurelio de Laurentiis amesema wanataka kumsajili mlinzi wa Arsenal ,Mgiriki, 32, Sokratis Papastathopoulos, hatua ambayo inaweza kutoa mwaya kwa Kalidou Koulibaly, 29, kujiunga na Manchester City.
De Laurentiis anakubali kwamba anajuta kutomuuza Koulibaly mapema.
Baba yake Lionel Messi amejadiliana na Barcelona kwa siku ya pili mfululizo juu ya uwezekano wa kijana wake kuhama klabu hiyo, na mlinzi wa Liverpool Andy Robertson anasema ni matumaini yake kwamba mshambuliaji huyo, 33, wa Argentina hatasajiliwa na timu nyingine ya Ligi ya Epl.
Tetesi zinasema Mlinzi wa Manchester United Chris Smalling, 30, anaonekana kuwa tayari kujiunga na Roma kwa mkataba wa kudumu.
Tetesi zinasema Monaco imekataa ofa kutoka kwa Manchester United ya mlinzi wa Ufaransa, 19,
Manchester United inajaribu kumaliza suala la mshahara na kima cha uhamisho kwa winga wa Borussia Dortmund Jadon Sancho kabla ya kutoa ofa kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa England.
Sevilla ina matumaini ya kuendelea kuwa na beki wa Real Madrid Sergio Reguilon kwa mkopo kwa msimu mwingine licha ya Mhispania huyo, 23, kuhusishwa na uhamisho wa kudumu hadi Manchester United.
Arsenal inakaribia kukamilisha makubaliano ya mkopo ya kumsajili kiungo wa kati wa Real Madrid na Uhispania Dani Ceballos kwa msimu wa pili kufuatana.
Tetesi zinasema Arsenal inafikiria kumtafuta kiungo wa kati wa West Ham, MBrazil Felipe,27, Anderson.
Liverpool haitakubali kiungo wa kati wa Welsh Harry Wilson, 23, kuondoka tena kwa mkopo licha ya Newcastle, Leeds na Southampton kuonesha nia ya kutaka kumsajili.
Chelsea imearifiwa kwamba lazima ilipe pauni milioni 30 kumsajili mlinda lango wa Senegal Edouard Mendy, 28, kutoka Rennes.
Inter Milan itahitajika kutafuta pesa kwa kumuuza kiungo wa kati wa Croatia Ivan Perisic ikiwa itataka kutoa ofa kwa mchezaji wa Chelsea, 29, na kiungo wa kati wa Ufaransa N’Golo Kante.
Crystal Palace, West Ham, West Brom, Norwich na Watford zinamnyatia mlinzi wa Ufaransa, 26, Jean-Claude Billong, anayecheza katika ligi ya Serie B Salernitana.
Roma inafikiria kumchukua mshambuliaji wa Hertha Berlin na Poland Krzyszt wa Piatek kuchukua nafasi ya Edin Dzeko.
Hull City inatafuta kumsajili beki wa kati wa kati wa Southampton Alfie Jones, 22, kwa mkataba wa kudumu.
Kiungo wa kati wa Bayern Munich Mhispania Javi Martinez, 32, amedhamiria kufikia makubaliano kurejea Athletic Bilbao msimu huu.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Ester jackson
Arsenal msimu huu wqnaonekana wako vizuri kununua viungo wachezaji wanzuri na wenye uwezo mzuri
farida ahmadi
Kocha wa Arsenal hanaonekana amejipanga vizuri Sana msimu huu
Zeiyana
Manchester united kwenye usajiri bado kabic yani hawana kikosi kizuri na wasipo angalia msimu huu watalamba galasa
Caroline
Asante kwa taarifa
Elika
Kocha amejipanga vizuri hongera kwake
magdalena
arsenal naona wanafanya juhudi za kukisuka kikosi chao vyema sana
Dorophina
Arsenal wamejitahidi natamani kuwaona mpira watakao ucheza msimu huu maana kikosi kimekamilika usajili wo haukuwa wa kitoto
Adelta
Kocha Yuko vizuri na kikosi chake 👏👏@meridianbettz
Mwajumah
Hongera sana kocha inaonekana umejipanga vizuri#Meridianbettz
Fatina
Jipange kocha kuanda kikosi imara ili msimu ukianza Ni mogoli tu naushindi mnono
felister
hizi tetesi za Messi na barcelona naona zinazidi kupamba moto
Lydia Emmanuel Magoti
Arsenal msimu huu wanaonekana wapo vizuri kununua wachezaji wapo vizuri nawenyeuwezo wakijutuma kiumakini
Sauda
Arsenal wamejipanga vizuri msimu huu
Ernest
Habari za moto sana hizi kunako Anga za michezo duniani, Ngoja tusubiri.
Mwanahamisi
Ko
Mwanahamisi
Kocha Yuko vizuri
Tatu
Barcelona bado awajakubali mess kuondoka club yao
rama
jambo zuri kama atafanikiwa kumpata
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa
Shafii
Sidhani Kama Chelsea wanaweza wakamuachia ngolo kante.
Nasra
Kikosi kipo vzuri
Latifa juma mohamed
Asante kwa taarifa
Furahav
Ngoja tuone msimu ujao itakuaje.
Sadick
tetesi za Ngolo Kante kuhitajika na Inter Milan sio za kuvutia kwa Chelsea#meridianbettz
Hope mwaikuka
Zko vzur tu
Rose kapinga
Mambo yatakua mazuri sana kila timu inajipanga vya kutosha!!!!
Saupha mohamed
Asanteni kwa taarifa
Shani
Habari njema
Neema
Asante kwa taarifa meridianbet
Sabrina
Arsenal wamejipanga vipasavyo
Povel
Nice information
Amiri Kayera
Habar Nzur za usajir
Gabriel
Arsenal msimu huu wako vizuri kununua viungo wachezaji wanzuri na wenye uwezo mzuri
warda
Ziko poa sana