Tetesi za Usajili Barani Ulaya Leo Tarehe 31 May Jumapili

Leicester wamempatia kiungo wa kati wa Liverpool Adam Lallana, ofa ya mkataba wa kudumu. Mkataba wa kiungo huyo wa kimataifa wa England, Anfield unakamilika mwisho wa mwezi Juni. (Football Insider)

Klabu tano za ligi ya Premia – Chelsea, Newcastle, Manchester United, Arsenal na Leicester – zinamtaka kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil midfielder Philippe Coutinho. Nyota huyo wa miaka 27, ambaye kwa sasa yuko Bayern Munich kwa mkopo, anatarajiwa kuuzwa kwa karibu £90m. (Mundo Deportivo – in Spanish)

Philippe Coutinho

Real Madrid wamepokea ofa kutoka kwa klabu zinazomtaka mshambuliaji wa Wales Gareth Bale,30, lakini mchezaji huyo anatarajiwa kusalia katika klabu hiyo kwa mwaka mwingine mmoja. (Marca)

Manchester United na Newcastle wanamtaka winga wa Uruguay Facundo Pellistri,18, ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Penarol. (Mail)

Galatasaray wanapania kushinda usajili wa winga wa Bournemouth Ryan Fraser. Kiungo huyo Scotland pia ananyatiwa na Arsenal naTottenham. (Daily Record)

Everton itafanya mazungumzo na Djibril Sidibe kuhusu kurefushwa kwa mkopo wake ligi ya Premia itakaporejelewa mwezi Juni. (Liverpool Echo)

Shanghai Shenhua wamelegeza msimamo wao kumruhusu mshambuliaji wa Nigeria Odion Ighalo,30, kurefusha muda wake wa mkopo Manchester United. (ESPN)

Odion Ighalo

Paris St-Germain wanakaribia kuafikiana kuhusu mkataba wa Mario Icardi. Muargentina, huyo wa miaka 27, yupo PSG kwa mkopo kutoka Inter Milanlakini mkataba wake unakamilika Mei 31. (Sky Sports)

PSG pia wanatafakari uwezekano wa kumsajili mchezaji nyota wa Chelsea Willian,31, ambaye huenda akawa tayari kuondoka kwa mkataba wa bila malipo mwisho wa msimu huu. (Le10Sport – in French)

Liverpool huenda wakacheza mechi yao ya nyumbani iliyosalia sehemu itakayokubalika na wote, endapo ligi ya Premia itarejelewa tarehe 17 Juni. (Times – subscription required)

Inter Milan wanatarajiwa kumuongezea mkataba beki wa zamani wa Manchester United Ashley Young ambaye alijiung ana klabu hiyo ya Italia Januari kwa mkataba wa awali wa miezi sita.

36 Komentara

    Ni vizuri kufanya usajiri mapema sababu muda utakuwa ni mfupi Sana wa kujiandaa kutokana ligi kuchelewa kumalizika

    Jibu

    Nivizuri kufanya usajili mapema

    Jibu

    Ni jambo sahihi kumuongezea mkataba Ashley young ni beki mzuri anaejituma

    Jibu

    William angebaki tu Chelsea bado lampard anamhitaji mno

    Jibu

    William angebaki tu hapa hapo alipokuwepo maana lampard anamhitajisana

    Jibu

    Ashley fundii anastahili usajili mpya

    Jibu

    William angebaki tuu Chelsea

    Jibu

    hongera adam lallana

    Jibu

    Lallana angeenda tu Leicester pale Liverpool apati nafasi.

    Jibu

    Ni vizuri kumuongeza mkataba

    Jibu

    usajiri mapema sababu muda utakuwa ni mfupi Sana wa kujiandaa kutokana ligi kuchelewa kumalizika

    Jibu

    Hapo ndio tunaona jeuri ya pesa ukizingatia muda ni mchache mambo ni mengi

    Jibu

    Wamalize mapema Mana mda uliopo ni mchace

    Jibu

    pongezi kwako lallana kwa ofa kabambe

    Jibu

    William ni fundi aise abaki tu

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa nzuri za usajili.

    Jibu

    Lallana aikubali ofa hiyo chap sana

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    vzur ndo muda muafaka huu kwa wachezaj na virabu

    Jibu

    William yuko vizur habaki tu

    Jibu

    Nice update # meridianbettz

    Jibu

    Coutinho bado ni mchezaji nzuri
    Akija man utd atafiti kwenye mfumo
    Ila tusubil na tuone deal lake Kama litafanikiwa #meridianbettz.

    Jibu

    Real Madrid wamepokea ofa kutoka kwa klabu zinazomtaka mshambuliaji wa Wales Gareth Bale,kweli Bora asalie Apo kuliko kwenda sehemu nyingine aongezee juhud na mazoezi#meridianbettz

    Jibu

    Nivizuri ndomda muafaka huu kwa wachezaji na virabu vyao

    Jibu

    Sawa

    Jibu

    Hii habari safi sana.

    Jibu

    man United wasikurupuke katika usajili wakatuletea viande

    Jibu

    Hapa naona Coutinho kutua Newcastle kabisa

    Jibu

    Hii habari iko poa sana

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Napenda Sana tetesi za usajiri asante sana meridianbet

    Jibu

    Tnx meridian kwa update za kimichezo

    Jibu

    Mambo yanazidi kupamba moto uko ulaya muda umebaki mchache wachangamke tuanze kuangalia soka

    Jibu

    Lallana angeenda tu Leicester pale Liverpool apati nafasi

    Jibu

    Liverpool usajil wao ukikamilika utakua usajil mzur kwao

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.