TFF Yafungia Viwanja Vitatu

Ikiwa ni Jumatatu murua kabisa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa kutumika kwa Ligi Kuu.

TFF Yafungia Viwanja Vitatu

Taarifa hiyo imesema kuwa viwanja vilivyokumbana na rungu hilo ni Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza) na Liti (Singida).

Taarifa iliyotolewa leo  Machi 10, 2025, na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo imesema miundombinu ya viwanja hivyo haikidhi masharti yaliyowekwa katika Kanuni ya Leseni za Klabu.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

TFF Yafungia Viwanja Vitatu

Hivyo, timu zinazotumia viwanja hivyo kwa michezo yao ya nyumbani zitalazimika kutumia viwanja vingine vinavyokidhi vigezo hadi marekebisho yatakapofanywa na TFF kufanya ukaguzi upya.

TFF imezikumbusha klabu zote kuendelea kuboresha miundombinu ya viwanja ili kuhakikisha michezo inachezwa katika mazingira salama na yanayokidhi viwango vya kitaifa na kimataifa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.