Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Argentina, Liverpool wanatarajiwa kukubaliana na dili la kumsaini Thiago Alcantara kutokea Bayern Munich kwa €35m
Taarifa zingine kutoka Hispania zilikuwa zikimtaja staa huyu kuwa yupo mbioni kujiunga na klabu ya Liverpool. Huenda anaweza kusogeza mabadiliko ya aina fulani kwenye safu ya kati klabuni Liverpool.
Staa huyu ni moja kati ya mastaa waliomaliza Akademi ya soka ya Barcelona. Kwa ujumla safari yake ya soka la kulipwa ilianzia Barcelona, akiichezea timu ya vijana toka mwaka 2006 hadi mwaka 2008.
Mwaka 2008 hadi mwaka 2011 alikuwa akiichezea Barcelona B. Mwaka 2011 aliingia rasmi kikosi kikuu cha Barcelona ambacho alitumikia hadi mwaka 2013 alipokamilisha uhamisho kwenda Bayern Munich.

Ni moja ya mastaa wanaotajwa kuwa vizuri kwenye nafasi zao. Thiago ameona goli mara 3 katika mechi zake 35, katika michuano yote msimu huu. Inaweza kuwa ni magoli machache lakini anaonekana kuwa makini sana.
Hata hivyo, Mkurugenzi mkuu wa Bayern Munich Karl-Heinz Rummenigge, alishaweka wazi awali kuwa staa huyu anataka kuondoka. Mkurugenzi alitaja kuwa jitihada za mazungumzo ziligonga mwamba na inaonekana alikuwa ana mpango wa kufanya kitu ingine.
Karl-Hein alibainisha kuwa awali hawakuwa wamefanya mazungumzo na Liverpool lakini kama staa huyu atahitaji kwenda Liverpool watahitaji kufanya nao mazungumzo. Bayern Munich hawapo tayari kumpoteza bure wakati mkataba wake ukiwa unafika tamati mwisho wa msimu huu.
Gabriel
Habar njema sana 👍
Theckla
Imekaa vizuri Sana anakwenda Tim sahihi
Hope mwaikuka
Axante kwa kutujuza
Devotha
Good newz
Omary lukumbi
Thiago alcantara ataenda kuimalisha kikosi, cha Liverpool msimu ujao
Njiku
Ipo poa sana acha aende liverpool
Evaluziga
Mwacheni aende tu Maisha popote
David Pere
Ni Jambo zuri kujiunga na mabingwa wapya wa EPL
Theonestina
Safi sana
Hamidu
Kiungo fundi kwa Liverpool ataenda kufanya vizuri japo umri unakwenda#meridianbettz
Ernest
Nadhani Liverpool watauza wachezaji wengi sana msimu ujao ndo mana wanajihami mapema.
Antony Luseno
Welcome to the champions
Johnmary joel
Kila raheri katika klabu mpya#meridianbett
Angelina
Kila kheri kwake
Aziza mushi
Mchezaji yoyote Yule anatamani kwenda kwenye mafanikio kwahiyo karibu nyumbani kwa Machampion..
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana
Dorophina
Habari njema kikosi kinaongezeka Liverpool mambo yanaenda poa hapo
Khadija
Habari njema sana#meridianbettz
Ester jackson
Mchezaji anae jituma sana na amekuwa ni moja kati ya mastaa waliomaliza Akademi ya soka ya Barcelona. Kwa ujumla safari yake ya soka la kulipwa ilianzia Barcelona, akiichezea timu ya vijana #meridianbettz
isha
Imekaa powa sana bora aende liverpool
Mariam mtandama
Habari njema
Zeiyana
Thiago alcantara ni moja ya mastaa wanao tajwa kua vizuri kwenye nafasi zao sizani kama Bayern Munich watakua tayari kumpoteza
Caroline
Safari njema
Mwanahamisi
Safi sana
Rehema
Liverpool mambo yanaenda vizur hapo
Lydia Emmanuel Magoti
Thiago Alcantara nibonge lamchezaji anajua nivizuri kalibige baba Liverpool
felister
Thiago ni mmoja wa mastaa wanaotajwa kua vizuri katika nafasi zao
Shafii
Thiago alcantara fundi Kama Liverpool watafanikiwa itakua bonge La deal Liverpool watakua moto sehemu ya kiungo
Fatuma kasomo
ipo poa sana acha aende Liverpool
Magdalena
Kama kaamua kwenda aende tu Liverpool ni timu kubwa sana atajifunza vitu vingi tofauti
Sabrina
Maoni:Habari njema hii
Sylvester
Alcantara moja ya viungo bora duniani na anastahili kuwepo kwenye kikosi shindani cha Liverpool,nafkiri Liverpool waendelee na hili dili kwani itakua dili zuri vile vile kujiwinda kwani kuna baadhi ya wachezaji tegemeo wanaweza kuondoka kusajiliwa timu nyingine
Sadick
Ingependeza kama angerejea Klabu yake ya zamani Barcelona ambao wapepwaya kiungo na Ulinzi. Heri kwao Liverpool kuendelea kuimarisha kikosi chao#meridianbettz
Frank Patrick
Bado nina mashaka kama kweli Liverpool atawafaa huyu
Povel
Habar njem a
Furahav
Huyu alcantara namkubali sana.
mwakalosi
liver wameamua sasa Klopp now yuko serious
warda
Hao Liverpool#Sasa Sifa#Meridianbettz
Salma
Habari njema
Mwajuma
Nikiungo bora hivyo anastahili kwenda kucheza liverpool
Asia Abdy
Good news
Samiah
Habari njema
lombo
mambo n moto