Timu Tano Zenye Mashabiki Wenye Mapenzi Zaidi Afrika

Afrika imejaaliwa na wapenzi wengi wa soka katika kila taifa kuna wapenzi wa soka, linaweza kua kimataifa au kwa timu za ndani, Katika ushabiki wa soka nako kuna namna mbili za ushabiki ya kwanza ni ile Timu inakua na mashabiki wengi lakini haina wapenzi ambao wako tayari hata kufuka mipaka ya taifa lao kuifata timu inapo shiriki michezo, na kuna Timu ambayo ina mashabiki wachache ila wanakua na mapenzi makubwa yasioyo mithilika na timu zao.

Leo tumekuletea zile timu 5 za Afrika zenye mashabiki wenye mapenzi makubwa na timu zao.

1. Ethiopian coffee Fc
Sio timu kongwe ila imefanikiwa kutengeneza mashabiki wa kunywa maji ya bendera.
Adis Ababa stadium una uwezo wa kuchukua mashabiki 32273. Amini nakwambia hii timu kila mechi wanauza tiketi 32273.

 

2. National Club Al Ahly
Mabingwa Mara 39 wa Misri na mabingwa Mara nane wa Wa Afrika. Wanatambulika kwa mashabiki wao wenye upendo na ukichaa dhidi ya timu yao.

3. Tout Puisant Mazembe
Bingwa wa kwanza wa Afrika kucheza fainali ya mabingwa wa dunia mwaka 2010(Mazembe Vs Inter Milan) Inapendwa saana na mashabiki wake na siku zote huujaza uwanja wao wa Mazembe.

4. Raja Casablanca
Timu Ya pili kutoka Afrika kufika fainali ya kombe la dunia la vilabu mwaka 2013.
Wanaitwa Mwewe wa kijani (Green Eagles)

5 Esperence De Tunis
Mabingwa Mara 27 wa Tunisia, wanajiita “Blood and Gold” wanawakilisha jezi yao ya rangi nyekundu na Dhahabu. Wamefika fainali sita za ligi ya mabingwa Afrika na wameshinda Mara mbili.

29 Komentara

    Nilidhani Timu yangu Simba ni miongoni mwa timu hizo!!# meridianbettz

    Jibu

    duh aisee hii sikuwai isikia aisee

    Jibu

    Duh!

    Jibu

    Football ndo mchezo unaongoza kupendwa sana duniani

    Jibu

    Waoo nlkua siijui hii

    Jibu

    Nilivyo ona tu kichwa cha habari nikajua timu ya yanga na simba hazikosi hapo haha haa pongezi sana kwa timu ya inter Milan nayo haipo nyuma

    Jibu

    Ethipiaon coffee ongera zao kwa kua na mashabiki wengi

    Jibu

    Duuuh Simba na Yangaa tupwaa kuleee!!!!??

    Jibu

    Kandanda ndio mchezo pendwa sana na izi makala zilizoshiba ni balaa

    Jibu

    Daaaah Simba na yangaa lazima ziwepo hapo

    Jibu

    Na simba je ipo nayo

    Jibu

    Du!!! Habari nzuri mana nilikuwa sijui km Afrika wanapenda mpira hivi.

    Jibu

    Simba & yanga kwa hapa bongo zina wapenzi wengi #meridianbettz

    Jibu

    Ni habari njema sijawahi kuisikia

    Jibu

    Daaaah Simba na yangaa lazima ziwepo hapo

    Jibu

    Mnatujuza mengi sana meridian#Asante

    Jibu

    Mbona Simba ya Tanzania aipo kwenye orodha ya timu zenye mashabiki wengi#meridianbettz

    Jibu

    Inamaana Tanzania hatina hata timu moja kweli hakuna mpira tz

    Jibu

    Ata Yanga tuko wengi sana

    Jibu

    Kumbe Afrika wanapenda sana mpira.

    Jibu

    ukiacha muziki kinachofuata mpira

    Jibu

    Duh Simba na yanga za kariakoo mbona zijaziona nikajuwah ctakuwepo thnks meridian bet kwa update za michezo na burudani

    Jibu

    Duh

    Jibu

    Mpira wa africa umekua Sana asahv na tunashabikiwa pande zote za dunia soka letu limekua Aya kiburudan uwanjan

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Kumbe nilikuwa sijui

    Jibu

    Hata simba alikuwa hatujui

    Jibu

    Tanzania Hanna hata moja

    Jibu

    Makala nzuri sanaa

    Jibu

Acha ujumbe