Tottenham Kuachana na Lo Celso

Tottenham hawana mpango wa kuendelea na Lo Celso baada ya kuwepo klabuni hapo kwa muda kidogo akiwa hajawahi kutengeneza namba ya kudumu, Huku akiwa ni mchezaji wa ziada na kutolewa kwa mkopo mara kwa mara.
Makala iliyopita
Thiago Motta Kusaini Juventus Wiki IjayoMakala ijayo
Yanga Yamuongezea Mkataba Gamondi