Tottenham na Ndombele Wafika Mwisho

Makala iliyopita
Mangungu Amkataa Hadharani Mo, Ajibu Msimamo WakeMakala ijayo
Messi: Inter Miami Itakua Klabu Yangu ya Mwisho
Tangu afike klabuni hapo mwaka 2019 Ndombele amekua ni mchezaji wa kutolewa kwa mkopo mara kwa mara na hii inakuja kutokana na mchezaji huyo kutokua na ubora, Ndombele amepita vilabu vya Olympique Lyon, Napoli, pamoja na Galatasaray.
Tanquy Ndombele atakua huru kuelekea msimu ujao hivo ni wazi kuanzia leo ataanza kufanya mazungumzo na vilabu ambavyo vitakua vinahitaji saini yake kuelekea msimu ujao, Huku vilabu hivo vikiwa vinapaswa kukubaliana na mchezaji huyo tu haswa kwenye eneo la maslahi kwani hawatatakiwa kulipa ada ya uhamisho kwakua mchezaji huyo ni huru.