Tuache Wataalamu Wafanye Kazi Yao - Laporte

Beki wa Manchester City Aymeric Laporte amesema maamuzi ya ya kumalizia Ligi yanatakiwa yaachwe kwa wataalamu wa afya katika kipindi hiki EPL wakitaka kurejea viwanjani

Vilabu vya Premier League vimetanabaisha kumaliza msimu 2019/20 baada ya kupokea muswada jinsi msimu utakavyo endelea Juni 8.

Katika kikao cha video kilichohusisha wawakilishi wote wa vilabu, kujadili namna msimu utakavyomalizik kwenye viwanja 8-10 vya kawaida kutumika kumalizia michezo iliyobaki.

“Ni tofauti kwetu kama tutaanza wiki moja au mwezi mmoja kabla, taarifa zitakuwa nzuri, lakini cha muhimu ni afya.

Tunasubiri taarifa za wataalamu wazungumzie kuhusu, na ndio kitu muhimu. Ni bora kwenye kazi hii, watafanya maamuzi bora kwa kila mtu

“Nimemiss mpira sana – nahitaji kucheza na kufanya mazoezi, na nafikiri ni mara ya kwanza kwenye maisha yangu kutokucheza kwa muda mrefu. Natumaini hivi karibuni nitarejea uwanjani na kwenye Ligi ya Mabingwa pia.

Wachezaji wengi wamekiri kujitenga na familia zao umbali mrefu katika mapambano dhidi ya Corona, na imekuwa kipindi kigumu cha lockdown, hata kwangu ni hivyo hivyo.

Laporte faced a fortnight out through injury before the lockdown began
Laporte alipata majeraha kabla ya Lockdown

“Ni vigumu kukaa bila kuona familia yangu, lakini nafurahia kuwa na nilionao karantini hapa Manchester – Mchumba na Paka wangu.

“Nimeishi mwenye tangu miaka 12 kwahiyo kuwa mbali na nyumbani ni kawaida kwangu. Ugumu kutokujua lini nitaiona tena familia yangu.

18 Komentara

    Wachezaji wote wawekwe kwenye uangalizi kabla kuonana na familia zao ,na kwenye ligi zao.

    Jibu

    Ila kweli mazoea yana tabu,inaumiza sana kukaa mbali na familia

    Jibu

    Ila kweli mazoea yana tabu,inaumiza sana kukaa mbali na familia(Corona ni hatari)

    Jibu

    Mazoezi ni muhimu na kufuata taratibu zilizo wekwa na wawekewe mfumo mzuri wa kukutana na familia zao mana familia nazo nimuhimu

    Jibu

    Wakakutane na familia zao ili wakafukize nyungu

    Jibu

    Yote ni sababu tu ya hili gonjwa.kuwa mbali na familia,ila yataisha tu haya yote na tutasahau,na wanamichezo kurejea viwanjani na kufanya mazoezi kama zamani,

    Jibu

    Mazoezi Ni muhimu ili wawe wepes
    Uwanjani

    Jibu

    Laporte yuko sawa kabisa kwa swala la kiafya wawaachie wataalam wa afya ndio wanao jua kama corona imedhibitiwa au la.

    Jibu

    Yatakwisha tu.

    Jibu

    Kikubwa huwangalizi tu

    Jibu

    Bora wasubiri wapewe muongozo na watalamu wa afya

    Jibu

    Litakwisha wataendlea na ligi Kama zaman

    Jibu

    Mazoezi ni muhimu na kifuata taratibu zote.hili janga litapita tu kwa uwezo wa mungu na wataendelea na ligi kama awali

    Jibu

    Afya kwanza mpira ndio utachezeka vizuri zaidi

    Jibu

    Ni kwel kila jambo lina mwisho wake

    Jibu

    Afya ndio muhimu kwanza

    Jibu

    Mazoezi ndio muhimu

    Jibu

    muhimu na kifuata taratibu zote.hili janga litapita tu kwa uwezo wa mungu na wataendelea na ligi kama awali

    Jibu

Acha ujumbe