Kocha wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola alisema kwamba hatojali lolote lile endapo kikosi chake kingemaliza msimu bila kuwa na taji lolote. Kocha huyo ametasema hayo kwa kuona kwamba hana wasiwasi wa namna ambavyo wengi wanahisi hatakuwa na amani kunyanyua kikombe ndani ya msimu huu kutokana na kuwa na matokeo mabovu ambayo hayaendani kabisa na kasi yake ya msimu uliopita.
Kocha huyo aliona kwamba hadi sasa mataji ambayo aneyanyanyua mfukulizo na klabu hiyo ni kipomo tosha kabisa cha kuweza kuaminisha kwamba anaweza kazi yake hiyo. Amenyanyua kombe la ligi mara mbili mfululizo akiwa na kikosi hicho na makombe mengine ya ndani. Kwa hiyo suala hilo halimpi wasiwasi.
Ramani hiyo imeanza kuonekana mara baada ya kocha huyo kuona kwamba watu wameanza kumwangalia kwa namna nyingine kutokana na kupoteza mechi yake mbele ya klabu iliyopanda ligi msimu huu pia mara baada ya kuwa na mwenendo ambao kikosi chake kinaonesha kusuasua sana ndani ya ligi hiyo.
Maajabu ambayo hayatasahaulika kwa kocha huyo ni kunyanyua kombe akiwa na alama nyingi sana katika ligi ambazo zilikuwa 98 jambo ambalo kwa miaka ya karibu lilikuwa kama historia na mapinduzi makubwa katika soka la Uingereza. Hivyo, kwake hilo sio changamoto na aliliona halina nguvu kumpa mawazo sana.
Jimgine ambalo kocha huyo alijaribu kulizungumzia ni juu ya hali halisi ilivyo kikosini hapo kwa sasa kwamba sio rahisi sana kutokana na kuanza msimu kwa kuwa na wachezaji ambao ni majeruhi, tena wachezaji ambao ni muhimu sana katika kikosi chake cha kwanza; hivyo hilo ni jambo ambalo kwake bado ni changamoto kiasi fulani.
Akiwa kama kocha pia amezungumzia suala la kuwa na wach3zaji wa aina moja katika misimu kadhaa mfululizo kwamba nalo huwa linashusha ushindani kwa sababu kikosi hicho huwa tayari kimeshinda kila kitu na kuona kwamba ni hali ya kwaida sana hata pale wanapotokea kukosa ubingwa fulani.
Lakini mbali na hilo ametahadharisha kwamba hilo sio sababu ya yeye kukata gamaa ya kufukuzia ubingwa bali ni onyo tu la kawaida ambalo ameliweka kwa wale wanaoona kwamba kocha huyo huenda ameanza kukubali hali halisi ya ligi kwa msimu huu. Kwamba atashindwa kufanya vyema kabisa.
winfrida
man saiv amna kitu wabovu
Adelta
Kocha wa Manchester city
Anajitahidi Sana japokuwa anipitia
Changamoto
Hope mwaikuka
Man u wameshaishiwa
Tahiya
Ni ulemsemo wa sizitaki mbichi hizo Pep anautumia apo
Ester mmakasa
Kwa uwekezaji mkubwa kama wacity alafu kumaliza msimu bila kombe lolote!!!
Antony Luseno
Pep ni jasiri sana
Antony Luseno
Pep ni kocha bora
felister
kashaishiwa uyo Hana lolote
Salma
Anajibaraguza huyo
Frank Patrick
Huyu ni aina ya makocha wanaojua nini wanafanya …
Juliana
Anajipa moyo tu,uku kiroho kinauma
Ester mmakasa
Anatakiwa asifanye ivo ,apambane ili wafikie malengo.
Khadija
hiyo ni kocha anayejua#meridianbettz
aisha
Guardiola yuko vizuri anajikubali sana na ndio maana hajali chochote kile
Ester jackson
Hana jipya anajishitukia tu huyo anarapu tu hapo ila moyoni kunaongea vingine
Theckla
Kila mtu anamapungufu yake ila Guardiaola aliweza fanya Mambo mazuri tu
Elika
Pep bado ni kocha bora kwa upande wangu
Asia Abdy
Shuhul mnayo watu wa man
Gabriel
Pepe kwa upande wake yuko sahihi kabisa ila mashabiki watahitaji waone man city inachukua taji
Hamidu
Big coach pep namkubali Sana! Safari hii Liverpool anastahili tumpe ubingwa wake.#meridianbettz
Neema juma
Kocha pep Guadiola ni kocha anayejiamini anaamini yeye si mtu wa kushindwa hii iko poa sana
Magdalena
Guadiola ni kocha mwenye upeo mkubwa anajua n Nini anafanya
Lombo
Guardiola unazingua maneno gan ayo ya kutatsha tamaa wachezaj na mashabiki
Neema hassan
Man hawana jipya..
Amani
hilo sio sababu ya yeye kukata tamaa ya kufukuzia ubingwa #meridianbettz
Swai
tena wachezaji ambao ni muhimu sana katika kikosi chake cha kwanza; hivyo hilo ni jambo ambalo kwake bado ni changamoto kiasi fulani. #meridianbet
Povel
Pep ni moja Kati ya makocha Bora dunia kwa Sasa thnks meridian kwa update za michezo
Emmy cleopa
Pep ni jasiri sana napia ni kocha nzur sana
Kenani
Pep bado Yuko vzr
Mwajuma
Ashawachoka sana
David pere
Mbinu zishaisha Hana Tena ujanja inabidi akubali matoke
Zeiyana
Hatutaki maneno si tunataka vitendo mashabiki
Caroline
Gadiola sijaipenda maneno yako
mwakalosi
huyu pep anajifariji tu anyway mwache ajidanganye maboss zake ni watu wa maamuzi ya haraka
Aziza mushi
Pep yupo vizuri
Theonestina
Man ilikuwa zamani bhanaa
Genia Sikaluzwe
Gadiola uwenda kunaacho jivunia
Agness
Ni kocha mzuri Sana na anatambua anachokifanya
Shafii
Pep ni kocha bora
Sadick
Guardiola ni kocha mahiri asiyenamfanoe kwa sasa hapa duniani #meridianbettz