Pep Guardiola baada ya ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Real Madrid,”Tupo hapa kujaribu kushinda Ligi ya Mabingwa. Ni hatua moja, kama tunadhani inatosha tutaonyesha ni jinsi gani tulivyo wadogo.”
Manchester city walifanikiwa kuwaondosha Real madrid katika michuano ya ulaya jana kwa jumla ya magoli 4-2 katika michezo yote miwili. Wanatarajiwa kukutana na Lyon katika mchezo wa robo fainali siku ya Jumamosi.
Guardiola, mshindi mara mbili wa Ligi ya mabingwa akiwa na Barcelona, akiwa bado anafukuzia ubingwa mwingine akiwa na City na kusisitiza ushindi ni jambo la Kipaumbele.
“Ni muhimu tumewashinda Real. Zinedine Zidane hajawahi kupoteza mara mbili katika mechi za mtoano. Unaona utulivu waliokuwa wanacheza nao, wako vizuri.”
“Katika mchezo tumetengeneza nafasi nyingi na kufunga magoli mawili kutokana na makosa waliofanya. Tumejaribu kuwashambulia zaidi wafanye makosa lakini sio rahisi kwa timu kama hii.” aliongeza Pep
Robo fainali kati ya Manchester City na Lyon itachezwa siku ya Jumamosi tarehe 15 mwezi wa nane katika uwanja wa Estadio Jose Alvalade nchini Ureno kabla ya nusu fainali siku ya jumatano tarehe 19 mwezi huu.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Issa
Man city kuifunga madrid wamefanya vizuri na kumfunga ile mechi ya kwanza iliwafanya wajiamini sana
Shafii
Gurdiola anastahili pongezi na ukiangalia kwa timu zilizo baki anaweza akacheza fainali.
Devotha
Guardiola kaelekezea akili na nguvu zake UEFA
Saupha mohamed
Guardiola amefanya kazi nzuri pongezi kwake
farida ahmadi
Safiiii Sana gardiola habari nzuri Sana kwa mashabiki
Hope mwaikuka
Gud for this
Povel
Kikubw kijitahad tu hapo wanawez fika malengo
Furahav
Wapambane watafanikiwa.
Amiri Kayera
Ata kumfunga Madrid ni mafanikio ili ushinde lazm um beat mkubwa
Fatuma kasomo
Anastahili pongezi
Frank
Itakuwa game ya kufa mtu maana ni one game sio kama zamani home and away
Gabriel
Wasijiamin sana maana Madrid waliocheza nayo haikukamilika kabisa
Latifa juma mohamed
Gud news.
David Pere
Ni maneno mazuri sanaa inabidi Sasa wakaze buti ili wafike final na kuweka history mpya pale City
Genia Sikaluzwe
Gud news
Dorophina
Ni vizuri kujiamini ivyo lkn kinachotakiwa Ni kutafuta mbinu mbadala ya kuwasaidia kutimiza malengo yao isiwe maneno tu
Ester jackson
Kwa kweli kabisa tangu alipo toka ronaldo real Madrid hama jipya nikufungwa tu na wakishinda wao ni bahati wanatakiwa wajipange
Mwanahamisi
Anastahili pongezi
Nasra
Gud news
Adelta
Gud news 👍
Sauda
Pongezi zimfikie huko aliko
Khadija
Anastahili pongezi#meridianbettz
Caroline
Zidane hajawai kupoteza mara mbili katika mechi za mtoano
Mwajumah
Anastahili pongezi
Salma ngende
Wazo zuri
Fatina mfingi
Gud news
Zeiyana
Cha msingi apambane tu anaweza akalibeba.
Tatu
Kila kitu ni kujiwekea malengo watafanikiwa
lombo
habar njema
Isaya massawe
Wanaweza kuchukua maana gurdiola ana hasira ya kukosa kikombe cha ligi
felister
kikubwa ni kujituma anaweza fikia malengo yake
Ernest
Kama vijana wa Pep watakaza basi watampa mafanikio mengine kocha wao maana City wana kikosi imara sana
Samiah
Habari njema
Sabrina
Man city wanajitahidi Pep anajua kupangilia timu yake
Saupha mohamed
Kujituma tuuu ndo cha zaidi
Omary lukumbi
Pongez ziende kwa pep ila sidhan kama zidane alikua na kikosi kama kile alicho kua amechukulia uefa misimu mitatu mfululizo na ronaldo yuko ndan ramos bale na wengine wote sidhan kama pep angeweza kumuondoa zidane kwenye michuano hii kusema kweli zidane msimu huu amekua na kikosi kibovu ila ametwaa kombe la liga kwa bahat sio kama alikua na kikosi cha kutisha mnoo ila kwa pep ata asipo cheza aguero bado ana kina Gabriel jesus kina raheem stering kina benardo silva mahrez wachezaj kibao na wako kwenye form kwa zidabe bale mwenyewe na wamekua hawana maelewano nae mazur pia
Rehema
Habari njema
[email protected]
Ilikua game tafu ila cty walistahili ushindi
Neema juma
Mawazo yao ni mazuri
magdalena
city wakiongeza juhudi zaidi uefa wanaweza wakachukua
warda
Huyu Pep huwaga namkubali kimtindo#Meridianbettz