Zile tuzo za UNFP ambao huwa wanashirikiana pamoja na akina LFP na beIN Sports hazitofanyika mwaka huu.
Usiku wa tuzo hizo umekuwa ukipangwa kufanyika mnamo tarehe 17 Mei. Kauli ya UNFP imesema kuwa: βWaandaaji wa tuzo hizo wameamua kuwa tuzo za mwaka huu hazitofanyika. Hii ni kutokana na msimu uliokuwa wa shida na mgumu sana upande wa michezo duniani na jamii kwa ujumla.
Tuzo hizo zinaahirishwa kwa sababu za kiafya, Ufaransa haipo mbali na madhara yaliyotokana na ugonjwa huu na hvyo kuathiri kabisa shughuli za ugawaji tuzo za mwaka kutoka kwetu.
βZawadi zilizokuwa zitolewe kwa wachezaji kwa mwaka huu wa 2020 zitatumika katika sekta ya afya ambayo ina wauguzi wengi waliojitoa kwa moyo mkuu sana katika kupambana na maambukizi ya ugonjwa huu duniani. Na kwa wale wote ambao wamekuwa wakitoa huduma kwa muda wa miezi hii miwili katika jamii zetu zote. Kwa hakika tunawashukuru sana na kuwaheshimu mno!β
Mchezaji wa Ufaransa, Kylian MbappΓ© alikuwa ndiye mshindi wa tuzo hiyo ya UNFP kwa mwaka 2019.
Hope mwaikuka
So sad
Furahav
Iko poa.
Hamidu
Daa! Habari mbaya kwa wanamichezo
Nashukuru kwa taarifa nzuri.
Neema hassan
Habari mbaya#meridianbettz
Theckla
Daaa corana hii sio poa ila maamuzi yao ni mazuri kuisaidia secta ya afya
Lombo
duuh
Antony Luseno
Hali bado haipo sawa asa na janga hili la corona
Salma
Dah! Corona imeharibu mambo mengi
Carolyne
Corona jmn ni shida
Asia Abdy
Mungu atusaidie tu
Tahiya
Duuh hali bado haiko sawa
frank patrick
Jambo jema kwa jamii
Ester mmakasa
Duuh! hali ya ugonjwa imekwamisha vitu vingi ,tuwe wavumilivu kwakweli.
Mwajuma
Maamuzi yakusaidia sekta ya afya nijambo jema
SADICK
Wauguzi na Madaktari wetu wanasitahili kuenziwa. Wamefanya vizuri #Meridianbettz
winfrida
naamini kila kitu kitakuwa sawa na tunzo zitatolewa kama zamani
mathayo sonje
Hayo ndo maamuzi sahihi kabisa kwa kujali afya za mashabiki na wachezaji.
Shafii
Habari nzuri Asante meridianbet kwa habari za michezo
Povel
Duh ni thanks meridian bet kwa update
felister
hali bado ni tete duh corona gonjwa hatari sana haijawai tokea dah
Genia Sikaluzwe
Ahsant sana meridianbet kwa taarifa
Rehema Dickson
Hali bado ajakaa sawa corona ni hatari sana
Mariam mtandama
Duuuh
Aziza mushi
Asanten kwa habari.
mwakalosi
wamefanya vyema sana
Lydia Emmanuel Magoti
Wamefanya vyema sana
Khadija
Iko poa#meridianbettz
dorophina
Tnx kwa update meridian
Adelta
Iko powa sana
Emmy cleopa
Duuuh!! Ahsante kwa taarifa meridian
Rehema
Duu! Corona hatari
Neema juma
Wamefanya uamuzi sahihii sana
Ernest
Ni jambo zuri hasa katika kipindi hiki cha janga la Corona
Zeiyana iddi
Corona imearibu mambo mengi sana
Gabriel
Habar ya kuhuzunisha
Magdalena
Duh Sasa itakuwaje zikitolewa
David pere
Walianzisha wao na wamefuta wao sawa hakuna yatizo
aisha
Duuh corona ni hatari sana
Asha
Duh ni habar mbaya kwa wanamichezo na burudani
Devotha
Corona nimeharibu mambo mengi
Ester jackson
Bado corona inatikisa dunia kwa upande mwingine tuzidi kuwaombea wauguzi wetu mana wanafanya kazi kubwa sana