UEFA: Hatuna Mabadiliko Euro 2020

UEFA wameibuka na kuweka wazi kuwa hakuna mchakato wa kufanya mabadiliko makubwa licha ya tetesi zinazoendelea kuwa wanatazamia kufanya mabadiliko hayo.

Kulikuwa na taarifa kuwa UEFA, wana mpango wa kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa michuano ya Euro 2020, ikiwa ni pamoja na mpango wa kuhamishia shindano lijalo kwenda Urusi.

Hata hivyo, awali mamlaka hii ya soka barani Ulaya, iliamua kusogeza mbele michuano hii kwa miezi 12, lakini hakukuwa na mabadiliko katika matumizi ya miji 12 kama ilivyotarajiwa.

EURO 2020 UEFA .

Kwa mujibu wa baadhi ya vyanzo vya habari za michezo kadhaa, kuna ripoti iliyotaja kuwa UEFA walikuwa wanafikiria kuhamishia michuano ifanyike Urusi -ambao walikuwa wenyeji wa Kombe la Dunia 2018 kwa sababu ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi ya virusi vya corona.

Katika kukanusha madai haya, tamko la mamlaka hii limesema kuwa “UEFA inatazamia kufanya michuano ya EURO 2020 kwa mfumo na miji ile ambayo iliainishwa awali, na tunaendelea kufanya kazi kwa ukaribu na wenyeji wa michuano hii katika maandalizi.”


 

USHUJAA UNAKULIPA HAPA!

Hii ni halisi kwa ajili ya mashujaa wote! Ukiwa jasiri unavuna mkwanja kibao hapa na sloti hii ya Huangdi Casino. Waka nusu tukupe maradufu!

Ingia Mchezoni!

22 Komentara

    UEFA hawapingi kama wameamua wasifanye mabadiliko katika Euro 2020

    Jibu

    Safi sana kwa kuonyesha msimamo wenu

    Jibu

    Safi sana hii

    Jibu

    Sawa kazi kwenu c tunasubr burudan tu

    Jibu

    Ni hatua nzuri Kama hakutakuwah na mabadiliko kwny EUROPE msimu ujao

    Jibu

    Itakuwa ni vyema kama hawatofanya mabadiliko yoyote ya EURO

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Good

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Vizuri Sana kwamsimamo wenu

    Jibu

    Wako na msimamo

    Jibu

    Ni vizuri wasipofanya kabadiliko

    Jibu

    Bakini na msimamo huo huo.

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi sana hii

    Jibu

    Safi kwa maamuzi mazur

    Jibu

    UEFA mwaka huu sijui hitakuaje ukiangali timu nyingi zimeka na wajeuri ukijumlisha na kolona hitachukua wakati mgumu sana kuibuka na shindi tutashuudia clabu nyingi kushuka daraja

    Jibu

    Vyema

    Jibu

    Uamuzi mzuri sana

    Jibu

Acha ujumbe