United, Chelsea na Matokeo Mabovu ya Dabi.


 

Manchester United na Chelsea zimeendeleza matokeo mabovu katika dabi zao za msimu huu ni matokeo mabovu kuwahi kushuhudiwa katika michezo yao iliyopita.

Mpaka Sasa kwenye msimu wa 2020/21 EPL ni Manchester United na Chelsea ndio timu pekee ambazo hazijapata ushindi kwenye dabi zote walizo cheza.

Man utd 1- 6 Tottenham
Man utd 0-1 Arsenal
Man utd 0-0 Chelsea
Man utd 0-0 Man City
Chelsea 0- 2 Liverpool
Chelsea 0-0 Tottenham
Chelsea 1-3 Arsenal
Chelsea 0-0 Man utd.

Timu hizo pia zimefungwa na Arsenal ambayo imepata matokeo mabovu zaidi katika msimu huu ikiwa inashika nafasi ya 15 katika msimamo wa ligi ya EPL.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

12 Komentara

    Chelsea na man u sijui wanakwama wapi sio kwa kipigo wanachochezea msimu huu

    Jibu

    Chelsea ya sasa ni mbovu

    Jibu

    Kweli kabisa wamezidi kudidimia wajipange upya tuuu

    Jibu

    Chelsea inabidi wajipange upya ili warudi kama zamani

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Chelsea mnakwama wapi

    Jibu

    Wakasafishe nyota tu

    Jibu

    Wanasuasua

    Jibu

    League msimu huu ngumu sana

    Jibu

    Ndo mchezo

    Jibu

    Wajitaidi kufanya mazoezi tu

    Jibu

Acha ujumbe