Klabu ya Manchester United hawatarajii kuongeza mkataba na Inter pamoja na Roma kwa dili za mkopo ya Alexis Sanchez na Chris Smalling.
Iko wazi kuwa klabu haihitaji kuongeza mikataba ya wachezaji wote wawili kuelekeza msimu ujao, au kuwaacha waendelee kuwepo nje kwa mkopo kwa zaidi ya mda uliopo kwenye mikataba ya sasa. Zaidi klabu inatarajia uwezekano wa kukamilisha mikataba ya kudumu.
Sanchez na Smalling, wote walikuwa na mikataba wa mkopo wa mwaka mmoja kule Inter Milan na Roma, mikataba hii ilikuwa iishe mwezi Juni, lakini mda wa kuwepo Italia ukaongezwa hadi mwanzoni mwa Agosti kwa ajili ya janga la Corona lilolazimisha Serie A kusimama kwa mda.
Katika mkataba wa sasa, wachezaji hawa kwa pamoja watarejea Man United baada siku ya mechi ya mwisho ya Serie A, ambayo imepangwa tarehe 2 Agosti. Hii inamaanisha hakuna kati yao atakayecheza ligi ya Europa huko Italia.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
warda
Daaaaa Ata Smalling wanamtema jamani ????#Meridianbettz
Antony Luseno
Bora ya Sanchez arudi ila kwa smalling akiuzwa sio mbaya
Adelta
Asante kwa makala nzuri
Zeiyana
Korona imearibu mambo mengi sana
Dorophina
Ni bora wawarudishe tu wakawapa hiyo mikataba ya kudumu itakuwa vizuri zaid sanchez ndie mchezaji ambaye man u wasipange kumkosa kumsajili moja kwa moja
Sylvester
Sanches na Smalling wamefanya vizuri kwenye vilabu vyao vya sasa ambapo wapo kwa mkopo kwa hyo inakua ni mzigo kwa Manchester United kuwaongezea mkataba wakitumiakia vilabu vingine na umri wao ushaenda kwa soka laa sasa.United wapo sahihi
Mariam mtandama
Duuuh corona imekwamisha mambo mengi sana
Mwanahamisi
Colona sio poa imetualibia sana
felister
itakua vyema wakirudi
Khadija
Asante kwa makala#meridianbettz
Angelina
Goodupdate
Franky
Sad news Kwa mashabiki wa man u
caroline
duh pole yaoo
Tatu
Sanchez lazma apate usajili binafsi namkubali
aisha
Pole yao sana
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Bora Sanchez wamuache wakimtema Smalling akiuzwa sio mbaya
Genia Sikaluzwe
Duuuuh Corona siyo poa
Njiku
Hii ya sunchez ndio nzuri kwao inter millan maana wanamuhitaji sunchez hi ndio fursa ya kumchukua kabisa na kumsaini hapo klabuni
Rehema
Aisee Corona inatisha
mwajumah
Asante meridian kwa makala nzuri
Zuhura omary kindamba
Corona imehalibu mambo mengi sana
Shafii
Sanchez akubaliane na inter akipige hapo hapo kwani serie A imemkubali Sana.
Amiri Kayera
Iwauze tu
Saupha mohamed
Wasimtemee daah
Janeflora malisa
Sanctions abak
Janeflora malisa
Sanchez abak
Furahav
Duuh haya ndo mpira ulivyo.
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Rose kapinga
Hii mbaya lakin ukiona mpaka unatoka sehemu ujue apo ridhiki yako imeisha ni vyema ukapambane mbele!!
Gabriel
Man u waoga sana then wanahitaji wakae kutengeneza kikosi sio kurudishwa kwa smiling na Sanchez
Issa
Hawana nafasi kwa ole waende tu
Flomena
Katika mkataba wa sasa, wachezaji hawa kwa pamoja watarejea Man United baada siku ya mechi ya mwisho ya Serie A, ambayo imepangwa tarehe 2 Agosti. Hii inamaanisha hakuna kati yao atakayecheza ligi ya Europa huko Italia.
Hope mwaikuka
Pole kwao
Povel
Gud information
Sadick
Inter walionyesha nia ya kumbakisha Sachez sijui nini kimetokea na amefanya vizuri zaidi akiwa pale#meridianbettz
omary lukumbi
bora warudi kuja kuongeza nguvu kulingana na viwango walivyo navyo kwa sasa
sabrina
Duuuh! hatari hii
Fatuma kasomo
Duh noma
Ernest
Binafsi nafurahia jambo hili maana Smalling na Sanchez watapata muda zaidi kucheza kwenye timu zao walizopo sasa kuliko kurudi Man U.
Theckla
Binafsi naowaona bado wako vizuri Sana ni vema man u wakawasajili kwani bado Wana kiwango kizuri kwa sasa
Neema juma
Warudi tu kiroho safii
Magdalena
United nao washaanza kuvuruga shughuli
devotha
asante kwa makala
Fatina mfingi
asanteh kwa taarifa meridianbet
David Pere
Wachezaji wenyewe washapoyeza viwango vyao hawawezi Tena kuichezea Man U