Klabu za Manchester United na Barcelona Zinaripotiwa kuwa zote zipo kwenye mbio za kuwania saini ya Pervis Estupinan kutoka Watford.
United walikuwa wa kwanza kuhusishwa na uhamisho wa beki huyu wa kuhsoto wa Watford kabla ya kubainika kuwa wanakumbana na upinzani mkali kutoka kwa mabingwa wa La Liga, Barcelona na pia Atletico Madrid ambao wanatajwa tajwa.
Beki huyu mwenye miaka 22 alikamilisha usajili wake na Watford mwaka 2016, lakini hakupata nafasi ya kuichezea klabu hiyo. Ametumika zaidi kwa mkopo nje ya Watford na kwa sasa akiwa klabu ya Osasu.
Beki huyu amecheza gemu 27 za La Liga msimu huu na kuonesha uwezo ambao umevivutia vilabu vingi vya Ulaya.
Jarida moja la Hispania limnetaja kuwa Man United na Atletico walikuwa wameonesha nia ya kuinasa saini mapema kabisa tangu April. Barcelona nao sasa wameunga tela.
Wakati United ikijitahidi kupanga kutotumia pesa kubwa kwenye usajili, klabu ilituma mawakala wake kumtupia jicho. Ripoti ya mawakala ni kuwa wamependa maajabu yake, wengependa awepo United. Ushindani uliopo unaweza kuwaacha wakaambulia patupu.
Magdalena
Wazee wa the Red devil changamkieni fursa iyo
felister
njoo Barcelona Estupinan
Sylvester
United kwa sasa sidhani kama watamsajili huyu kwani kama wanaupinzani na Barcelona naona Barcelona watakua tayari kutoa dau kubwa kutokana na timu yao ilivyo kwa sasa #meridianbettz
Hamidu
Kwa man utd utafit kwa mfumo#meridianbettz
David Pere
Watagongana vichwa lakini ukweli unajulikana Man U pesa wanayo watampata tu
Caroline
Wamsajili tu
Gabriel
Kwel hapa Barcelona’s inamchikua maana Estupinan mwenyew alishaonyesha mapenz na club hiyo kwa upande mwingine wakala siku zote wanaangalia maslai ya mchezaji na Barcelona inayo tayar dau la kumpata
Zeiyana
Ishu ni mkwanja yeyote atakaye fikia makubaliano na timu husika anaweza kuelekea huko
Isaya massawe
Beki hatari sana huyu
Povel
United wamekuwah watu wa romanci tu end of the day deal fail hapo nawapa nafas wazee wa nou camp wanawez kumchukuwah fundiii wa mpr thnks meridian bet kwa update za michezo
Ester jackson
Man united wanachungulia hela kwa sasa naona Barcelona watamchukuwa
mwakalosi
Kurugenzi yetu sijui inafail wapi watumie tactic za movichi tu unaingia mazima tu
Rehema
Asante kwa taarifa meeidianbet
Lydia Emmanuel Magoti
Mwenye pesa nyingi apo ndio atachukua jembe hilo
isha
😆😆😆😆😆😆 mwenye kisu kikali ndio mlaji wa nyama acha nione itakuaje
Hope mwaikuka
Duh
Theckla
Mwenye kisu kikali ndo atakula nyama
Samiah
Pesa ndio kila kitu hapo
Shafii
Zote ni club kubwa kwa yeyote atakaye weka mzigo wa kutosha anaweza kukamilisha deal
Latifa juma mohamed
Zote timi kubwa, mwenye kisu kikali atakula nyama
Elika
Hapo kazi kwake ni vema akaangalia ni wapi panafaa aende
Mwanaidi
Habari zote muhimu za michezo tunazipata hapa mpo vizuri#meridianbettz
Hilda
Mwenye mawe ndio atafaidka
Asia Abdy
Beki mzur huyu
Adelta
Ni vizuri Kama atakaa arizike mwenyewe
Na aangaliye maslai yako wapi
Khadija
Beki namkubali sana#meridianbettz
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
warda
Kila wanapoingia United wanakuta Timu zingine nazo zinawinda hapo hapo#Meridianbettz
Mwanahamisi
Beki bora
Devotha
Waswahili wanasema mwenye kisu kujali ndio atakaekula nyama
Mariam mtandama
Duuuh
lombo
gud newz asante
Salma
Wakaze Barcelona
Evaluziga
Wamsajili tu
Dorophina
Inaonekana yupo vizuri mpaka kila mtu anamtaka yy
Ernest
Estupinan muda wake umefika kuzitesa club Lusaka saini yake
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Sadick
Hizi tetesi za mchezaji kuhitajika na timu hiii ama ile ni mbinu tu za mawakala kwa kushirikiana na vyombo vya habari kuongeza dhamani yao sokoni#meridianbettz
Furahav
Yuko vizuri kijana.
Tatu
Yupo vizuri