Manchester United wanaripotiwa kuwa hawaoni tena kama wana uhitaji wa kuweka kipaumbele kumleta mlinzi mpya wa kati kwenye dirisha la uhamisho la kiangazi kutokana na fomu ya hivi karibuni ya Harry Maguire.
Beki huyo ghali zaidi ulimwenguni ameisaidia United kupata hati tano safi katika mechi zao tisa za mwisho kwenye mashindano yote.
United waliripotiwa kuwa walikuwa na wasiwasi wa kushuka kwa kiwango cha cha Maguire mwanzoni mwa msimu, bila kusaidiwa na maswala ya nje ya uwanja.
Kwa mujibu wa Manchester Evening News, kurejea kwenye fomu kwa beki huyu mwenye umri wa miaka 27 kumepunguza shinikizo la utaftaji wa mlinzi mwingine kwa Mashetani Wekundu.
Taarifa inasema kuwa United wanaweza kurejea kwenye soko kutafuta walinzi ikiwa Maguire atacheza kwa kiwango cha chini katika siku zijazo, ingawa hiyo inategemea mchango wa Victor Lindelof na Eric Bailly pia kati ya sasa na msimu wa joto.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.
Lydia Emmanuel Magoti
Kwaujumla wanaona Kama washa kaa vizuri
Adelta
Wako vizuri kwa sasa
Sania
United wanaendelea kujipanga vyema
Sarah
United wako vizuri
Magdalena
United wachezaji walio nao wanawatosha
Venerose
Wamejipanga vinzur
Caroline
Maguire anatosha
Neema juma
Juhudi inahitajika hapa
Hopemwaikuka
Fresh
Dorophina
Maguire yupo vizuri
warda
Haina haja tena
Khadija
wajipange upya