Usajili wa Donny Van De Beek bado unaendelea kuzua gumzo kwa baadhi ya wadau wa soka duniani. Hii ni kufuatia na mchezaji huyo kutopewa nafasi ya kuonesha uwezo wake ndani ya kikosi cha Man United.
Mpaka sasa, Van De Beek hajaanza mchezo wowote wa EPL. Amekuwa akisugua benchi kwa mechi za ligi na hata UEFA (dhidi ya PSG). Amecheza michezo ya Carabao Cup pekee.
Kutokana na uwezo wake, wadau wa soka wanadhani hili ni kosa kubwa kwa mchezaji kama Van De Beek kuchagua kujiunga na Man United na kuwekwa benchi kwa muda wote huu.
Gwiji wa soka la uholanzi – Van Basten, amenukuliwa akisema ” Van De Beek hakupaswa kujiunga na Man United”.
“Ni jambo baya sana kwa mchezaji kama Donny kucheza michezo 6 au 7 pekee mwaka huu. Hii sio sawa kabisa.
“Ninajua anapokea pesa nyingi kuliko alivyokuwa akipokea kipindi cha nyuma. Lakini kama mchezaji bora, unapaswa kuwa makini zaidi na kuangalia nafasi ya kucheza kabla hujasaini kujiunga na timu nyingine.
“Donny angesubiri fursa zingine na angesajiliwa na klabu nyingine.” Van Basten ameiambia Ziggo Sport.
Pamoja na kucheza mara chache, Donny anauwiano wa 83.33% wa kupiga pasi sahihi, hii ni takwimu kubwa kuliko Bruno Fernandes na Paul Pogba. Ameshafunga goli 1 mpaka sasa na kutengeneza nafasi kadhaa za magoli.
Tsh.160,000,000 Kushindaniwa!
Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.
Adelta
Van De Beek asuburi tu hawezi jua man United wanafikiria Nini kuhusu yeye
warda
Hiyo inaitwa kuuwa vipaji vya watu sasa
Angelina
Goodupdate
Aziza mushi
Asanten kwa habari
Neema
Duu mbona mambo mazito haya
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Tatu
Kocha anamaono yake yeye ndio anayejua kwann anamuweka van de beek benchi mda wote huo bila ya kumchezesha
Dorophina
Kocha anajua nn anafanya ndiomaana amemuweka benchi
Elika
Sio poa kwa kile alichokifanya kocha
Hopemwaikuka
Jamanii
Mwajumah
Mambo mazito hayo
Mwanahamisi
Sio poa kwa kile alichokifanya kocha
Ernest
Van Beek tokea mwanzo nadhani alijuwa upinzani atakaokumbana nao lakini alikuwa tayari kupambana, Ngoja tuone lakini ni vigumu sana kupata namba ya kudumu ndani ya Red Deviels
aisha
Duuuh kweli nomaaaa
Fatuma kasomo
Gud news
Povel
Hapambane tu united timu kubwa inabid upambane uwez kupata namba kwy kikos cha kwanza
Issa
Ni swala la muda tu
Sabrina
Duuh noma sana
Saupha mohamed
Good news
Latifa juma mohamed
Asante kwa taarifa murua.
David Pere
Ni jambo baya sana kwa mchezaji kama Donny kucheza michezo 6 au 7 pekee mwaka huu. Hii sio sawa kabisa.
Sauda
Habari nzito sana
Lydia Emmanuel Magoti
Van usiwe naharaka dogo kusugua benchi sio kuto pangwa kwenye kikosi nimamuzi yakocha napia unakuwa unausoma mchezo