Raisi wa Klabu ya Barcelona Joseph Maria Bartomeu amewalaumu waamuzi wasaidizi wa La liga, kwa kuwapendelea Real Madrid tangu Ligi hiyo kurejea.
Baada ya ushindi wa goli moja kwa sifuri mbele ya Athletic Bilbao siku ya jumapili, baada ya Sergio Ramos kufunga penati waliozawadiwa dakika ya 76 kupitia VAR, vijana hao wa Zinedine Zidane wako mbele kwa alama 4 mbele ya Barcelona zikiwa zimebaki mechi 4.
Refa Jose Gonzalez aliwapatia penati hiyo baada ya kuangalia marudio katika tv ya uwanjani, ambapo Dani Garcia alimchezea madhambi Marcelo.
Sergio Ramos alikuwa mchezaji wa kwanza kwenda kumshawishi refa huyo kurudia kuangalia tukio hilo. Kitende hicho kinamfanya Bartomeu kuamini Real Madrid wanabebwa katika kuelekea Ubingwa.
“Nimeangalia mchezo San Mames angalau mpaka mwisho wa kipindi cha pili.” Alisema Bartomeu baada ya Barcelona kushinda 4-1 dhidi ya Villarreal Jumapili usiku.
“Najiskia vibaya kwasababu tulikua na Ligi bora duniani, lakini VAR baada ya COVID-19 imekuwa haitendi haki. Imekua ikibadikisha matokeo na kuisaidia timu moja.”
Yeah katika iyo mechi Madrid kabebwa Sana mpaka tumestukia
Asante kwa kunijuza
Maneno yamkosaji hayo wafate sheria kama wameonewa
VAR nikitu chamwisho kwa wahamuzi akinaubishi ukubali ukatae akuna jinsi wahamuzi ndio washahamua
Hayo maneno tuu anaona ubingwa anaukosa
Haaaaaaaa Kaona Anashindwa Sasa Anasingizia VAR haaaaa#Meridianbettz
VAR ndio mwisho wa matatizo shida nn
Kumbe madrid inapendelewa duuh mimi nilikua sifahamu jamani
mfa maji haishi kutapatapa
Asanteh kwa ujumbe meridianbet
Km wameona wafate sheria
Barcelona wakishinda wao hawabebwi lakini wakishi wenza Wana bebwa Waache kuleta lawama Zama zao zishaishaga
Du VAR kumbe kama malefatu…
Huu ni mtazamo wake raisi wa Barcelona ila kwa upande mwengine tumeona mambo Kama haya yanatokea endapo timu Fulani inapokua kileleni au nafasi nzuri maneno hua yanaanza kuzuka Mara wanabebwa mfano kamili haya yametokea kwa Liverpool msimu huu na hata kwa huku kwetu ligi ya vodacom vpl yamezuka Kama haya kua simba anabebwa na hata tukirudi nyuma kipindi kile cha sir Alex furguson kocha was man u maneno Kama haya yalikuwepo kwa sababu tu man ilikua inafanya vizuri kwaiyo tunaweza sema haya ni maneno ya wapinzani kwenye soka au dalili za kushindwa mbio haiwezekani VAR ikawa inapendelea tu time moja ya Madrid.
Duuh! Meridianbet hii taarifa imetulia
Hadi neno limemtoka basi sheria ifuatwee
Maisha hawajawahi kuwa sawa siku zote. Barcelona wameshapoteana na mwisho watamutupia virago Kocha. VAR haijawa msaada kwa refa hasa Ligi EPL#meridianbettz
Mbona hawajapendelewa ni mtazamo wao tu kwasababu wako sehemu mbaya kiushindani.
Hayo ni mawazo yake
Hyo ni dalili ya kushindwa kwa Barcelona leo wenzao wana bebwa na VAR wao hawabebwi washaona kombe sio lao tena wanaanza visingizio washaona hakuna wa kutupia lawama zao zaid ya real Madrid na VAR kiukweli tuu Barcelona msimu huu wamepoteana na wana wazee wengi sana pale kalibia kikosi kizima mizee mitupu naVAR n muamuzi wa mwisho.maana kuna matukio mengine ya uwanjan si refa wa ndan ya uwanja au raz men hawawezi kuona matukio nyeti zaid ya hii teknolojia mpya hii ya sasa maana hata ukizid kidole utaonekana tuu kwa hii haina upendeleo
Haaah jamani sheria ifatwe#meridianbettz
Wana choyo hao
Jamani sheria za mpira zifuate mkondo wake.
Asiye kubaki kushindwa siyo mshindani#meridianbett
Anachosema var ni kweli Madrid wamebebwa Sana kwny mechi dhidi ya attletico hvy sheria na kanuni za mpira zifate mkondo wake
VAR ni kipimo cha mwisho ndo maana kwa sasa wanakitumia ili kuondoa utata ,kusema hawa wamependelewa au wameonewa
Hayo maneno yake tu
Tabia yao mbaya kwann wapendelee hvyo
hivi kwann ambapo mechi ikitoke mtu kafungwa kwa gori la kufanyia mtu madhambi.. na ikitokea adhabu watu upenda kulahumu VAR Kama tais wa Barcelona anavyo lalamika.. Kama sikosei hata kocha wa Tottenham Joseph mordhno nae aliwai kulala Mika ila hi yote utokana na mabadiliko na matarajio ya mchezo..
Inapaswa kukubali tu kwamba mbio za ubingwa kwa msimu huu umeshindikana tujipange kwa msimu ujao sio kusingizia VAR.
Real ni mabingwa tu var haiwez kufanya madrid ikose ubingwa
Itakuwa ngumu Sana kwa Messi kumalizia soka akiwa na Barca
Madrid wamekuwa watu wenye njaa na ushindi na sio Kama VAR inawabeba
Barcelona hana la kujitetea VAR haibebi timu kinachotakiwa barca ashinde mechi zote zilizobaki ili awe bingwa laliga
Nyie barca tulieni Zidane aweke historia.
Duh hatari
Hayo mawazo yake Madrid wapo vzr sana
Kwa jicho lingne unawez kuon km kwer maan ushind wao gor moja af penat
Maoni:Duuh hatari kumbe hata VAR haiamini kama iko sahihi, Joseph maria ajipange tu na timu yake asifikilie habari za kubebwa
Ujumbe nimeuwelewa asanteni
Waache majungu chamuhimu waangalie wanakwama wapi
Sio sahihi
Duuuh
Aachee kusingizia VAR atengeneze kikosi chake vizuri
Watuache na Madrid yetu
Ni mtazamo wake kusema hivyo kwa VAR mana hata tunaonaga kwenye mechi nyingine kuwa haitendi haki na upande mwengine inatenda haki haswa kwa kipondi chichi cha kutafuta mabigwa ndio changamoto zake hutokea na kufanya upendeleo usiokuwa na haki
Duuuuh
Madrid walibebwa sana kwenye mechi hiyo
Nice update 👍
Here kumbee
VAR inaeza kupendelea mtu kweli