Victor Moses: Conte Ndiye Meneja Bora Niliyekutana Naye

Nyota wa Chelsea anayetumikia mkopo Victor Moses, anasema Antonio Conte ndiye kocha bora aliyewahi kuwa naye na anabainisha kuwa angeweza kurejea Inter.

Conte alimfundisha Moses wakati wa miaka yake huko Chelsea na Inter.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Nigeria, ambaye yuko kwa mkopo kule Spartak Moscow kutoka The Blues, alitumia miezi sita kwa mkopo huko Inter msimu uliopita.

“Conte ndiye kocha bora zaidi ambaye nimekuwa naye,” mchezaji huyo wa miaka 30 akizungumza na Spartak.com.

“Alinisaidia kujiamini. Na ukweli ni katika kubadili mtazamo, sio kwa sababu nilipata nafasi mpya upande wa kulia.”

“Nilikuwa tayari kurudi [Inter] kabla ya kujiunga na Spartak. Nilikuwa tayari nimejadili kila kitu na Conte. Lakini kitu hakikufanya kazi. Labda hali ya kifedha imepiga, sijui.

“Wakati fulani, wakurugenzi wa Spartak wamewasiliana na mawakala wangu.

“Marina Granovskaya alizungumza na wakala wangu na kuelezea ni kwanini Spartak ilikuwa chaguo bora.”

“Wakati huo, nilianza kutafuta klabu mwenyewe, na nilitazama video kadhaa. Niligundua umuhimu wa wa timu hii.


 

TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET

BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.

CHEZA HAPA

10 Komentara

    Hongera sana Conte kwa kazi nzuri

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Anastahili sifa kwa kweli

    Jibu

    Conte Yuko vizuri

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Victor yupo vizuri

    Jibu

    Conte hana bahati

    Jibu

    Mtazamo wako

    Jibu

    Kweli hata mie naona hivyo

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

Acha ujumbe