Nyota wa Chelsea anayetumikia mkopo Victor Moses, anasema Antonio Conte ndiye kocha bora aliyewahi kuwa naye na anabainisha kuwa angeweza kurejea Inter.
Conte alimfundisha Moses wakati wa miaka yake huko Chelsea na Inter.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Nigeria, ambaye yuko kwa mkopo kule Spartak Moscow kutoka The Blues, alitumia miezi sita kwa mkopo huko Inter msimu uliopita.
“Conte ndiye kocha bora zaidi ambaye nimekuwa naye,” mchezaji huyo wa miaka 30 akizungumza na Spartak.com.
“Alinisaidia kujiamini. Na ukweli ni katika kubadili mtazamo, sio kwa sababu nilipata nafasi mpya upande wa kulia.”
“Nilikuwa tayari kurudi [Inter] kabla ya kujiunga na Spartak. Nilikuwa tayari nimejadili kila kitu na Conte. Lakini kitu hakikufanya kazi. Labda hali ya kifedha imepiga, sijui.
“Wakati fulani, wakurugenzi wa Spartak wamewasiliana na mawakala wangu.
“Marina Granovskaya alizungumza na wakala wangu na kuelezea ni kwanini Spartak ilikuwa chaguo bora.”
“Wakati huo, nilianza kutafuta klabu mwenyewe, na nilitazama video kadhaa. Niligundua umuhimu wa wa timu hii.
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.
Venerose
Hongera sana Conte kwa kazi nzuri
Rahma
Vizuri
Neema juma
Anastahili sifa kwa kweli
Sarah
Conte Yuko vizuri
Angelina
Nice
Caroline
Victor yupo vizuri
Issa
Conte hana bahati
Hopemwaikuka
Mtazamo wako
warda
Kweli hata mie naona hivyo
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri