Viingilio Simba Vs Kaizer Hivi Hapa

Klabu ya Simba imetangaza viingilio vya mechi yao ya marudiano nyumbani dhidi ya Kaizer Cheifs, Jumamosi ijayo ambapo kiingilio cha chini kitakuwa ni Sh 5,000.

kaizer

“Uongozi wa Simba umeomba kwa CAF watuongeze idadi ya mashabiki kutoka 10,000 wa mwanzo hadi 20,000 au 30,000 hivyo ndio tunasubiria majibu na tunaamini watatukubalia kwa hilo ukizingatia kwa sasa hali ya Corona imepoa kidogo baadhi ya nchi mashabiki wameanza kuingia viwanjani”.

Viingilio katika mchezo huo vitakuwa ni Sh 40,000 kwa VIP A, Sh 25,000 kwa VIP B na C na mzunguko itakuwa ni Sh 5,000.

Katika hatua nyingine, Mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mchezo huo baina ya Simba na Kaizer Chiefs.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

3 Komentara

    Safi San Simba

    Jibu

    Wasije wakatuangusha tu

    Jibu

    Ebwana ndiyo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.