Vilabu vya EPL Zavutana Kuhusu Neutral Stadium

Vilabu vya Ligi Kuu wameambiwa watatumia viwanja 10 katika mchakato wa kumalizia mechi zilizosalia ili kumaliza msimu

Brighton imesema “sio sawa” kutumia viwanja vingine kwasababu inaweza kuharibu ubora wa Ligi.

Klabu zilizopo nafasi za chini kwenye msimamo wanahisi sio sawa kucheza mazingira tofauti wakiwa kwenye hatari ya kushuka daraja.

Brighton & Hove Albion, Bournemouth, Watford, West Ham na Norwich City ni moja ya vilabu vinavyopinga mpango wa kutumia viwanja hivyo.

Japo Arsenal, Aston Villa, Chelsea, Crystal Palace, Everton, Manchester City, Manchester United, Newcastle United na Liverpool wamekubaliana na muswada huo.

Aguero na Vardy

Vilabu vingi vya Premier League wapo tayari kucheza mechi zilizosalia kwenye viwanja hivyo ikiwa tu hakuna timu itakayoshuka daraja.

Premier League inahofia vilabu sita au saba ndio ambao vinapiga mpango huo wakutumia viwanja hivyo. Lakini bado kuna mvutano kwenye kundi hili ni namna gani ligi ianweza kumalizika.

Kutumika kwa viwanja neutral zinahitajika kura 14 kati ya vilabu 20 ili kutumika katika kumalizia mechi zilizosalia.

21 Komentara

    Nisawa tu chamuhimu ligi irudi

    Jibu

    Wafikie muafaka tu

    Jibu

    Waache uoga wakubaliane

    Jibu

    Ligi ikirud itakuwa Poaw

    Jibu

    Sawa tu.

    Jibu

    Wakubaliane hili ligi irudi maana tumemisi

    Jibu

    Fresh tu

    Jibu

    Malidhiano ndo Jambo jema

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    wakae wakubaliane wafikie muafaka

    Jibu

    viwanja vichache sana

    Jibu

    Wafikie muafaka ligi irudi

    Jibu

    Wafikie muwafaka ligi iludi

    Jibu

    Wakubaliane tu

    Jibu

    Cha msing muafaka

    Jibu

    Wafikie muafaka ligi ziludi

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Wapitishe muafaka ligi ziendelee..

    Jibu

    Cha msingi kuelewana

    Jibu

    Ilimladi ligi irudi tyuu

    Jibu

    Kikubwa ni makubaliano tyuu

    Jibu

Acha ujumbe