Aston Villa watahitaji kiasi cha £80million kwaajili Jack Grealish majira haya ya Kiangazi, na Manchester United wakiongoza mbio za kuwania saini yake.
Viongozi wa Villa wanatamani kumbakisha nahodha huyo wa klabu lakini wanahofu ya kushuka daraja.
Dean Smith kwasasa wapo nafasi ya 19 katika msimamo wa Premier League lakini wanaweza kupanda hadi nafasi ya 16.
Grealish, ambaye amefunga magoli saba na kusaidia mengine sita kwenye Premier League msimu huu, ni moja ya wanaowaniwa na United.
Mtendaji Mkuu wa United anaamini kipindi hiki cha majira ya joto bei za wachezaji wanaowawania zitashuka kwasababu ya janga la Corona, lakini Villa wana uchumi mzuri hivyo haitawalazimu kumuuza kwa bei ya kawaida.
Wamiliki Nassef Sawiris na Wes Edens wako vizuri kiuchumi hivyo wanaweza kukataa ofa yoyote ndogo kwaajili ya Grealish.
Japo, inaweza kuwalazim kumuuza kama klabu hiyo itashuka daraja, kwani Grealish hatweza kucheza tena Championship.
Shafii
Huyo jamaa Yuko vizuri Sana ila sio kwa kiwango Cha pesa hicho wanachokitaka Aston Villa
Povel
Duh Jack grealish fundiii wa soka ilidau kubwa sana waangalieh na corona hiii timu nyng zmeshuka kiuchumi thnks meridian bet kwa update
Sadick
Jack Grealish mchezaji mzuri kwasasa pale Aston Villa amekuwa kama samaki mkubwa kwenye bwawa dogo na amechezea pale kwa muda mrefu ni muda sasa kutafuta malisho pengine ingawa bei ni kubwa mno kwasasa maana uchumi umeyumba kila sekta#meridianbettz
Frank Patrick
Hiyo pesa kwa Jack ni kubwa mno yan mno
Neema hassan
Mchezaji mzuri lazima wapande dau.
Samiah
Lazima wapande dau kwani nmchezaji mzuri
Gabriel
Grealish n mchezaji mzur sana anastahil kwenda man u kuziba mapengo
Ester jackson
Duuh ila leo lazima mtoboe mkiwa mpo makini na jack akaendelea kuwa Aston villa
Omary lukumbi
Jack grealish n mchezaj amekua na msimu mzr sana atakuja isaidia United ck za usoni
Hidaya
Dau kama kubwa sana
isha
Duuh hatari sana
Mwajuma
Talent player
Johnmary joel
Jamani viongoz mnapotaka mchezaji waangalie na uchumi ukoje#meridianbetz
mwakalosi
man United wakilipa hizo pesa naacha kuishabikia naenda Munich jack ni mtoto sana hata kufanya vibaya kwa Aston villa ni makosa yake
Mwanaidi
Duuh Aston Villa wameshataja na dau tayari
lombo
gud newz
Rehema
Duu! Hatari
Mwanahamisi
Duuh hatari sana
Elika
Huyo ni mchezaji mzuri namshauri asikubali kuuzwa abakie hapo hapo kwenye club yake hiuo
Devotha
Ni mchezaji mzuri ila sehemu aliyopo naona kama sio sehemu sahihi kwa kiwango chake
Furahav
Habari nzuri.
Magdalena
Wapambane wamchukue
Hamidu
Talent player
Tahiya
Haya apo kazi kwao Man united dau limetajwa
Sylvester
Grealish wa kawaida sana ila kama kawaida soko la Waingereza ni kuwainua wachezaji wao dau hilo ni kubwa sana
Zeiyana
Duh ni pesa nyingi sana anajua kweli ila sio kwa pesa izo
Mariam mtandama
Habari mjema
Caroline
Jack fundi jmn
warda
Wajitahidi tu kwenye usajili#Meridianbettz
Sabrina
Maoni:Grealish ni mchezaji mzuri anakipajii
Dorophina
Mbona wametaja dau kubwa sana ingawa mchezaji yupo vizuri kinoma
Samira
Duuuu pesa ni nyingi mno but bado ni mchezaji mzuri
Genia Sikaluzwe
Grealish ni mchezaji anaejituma uwajani
Theckla
Itakuwa poa
tumaini
Maoni:Habar njema
Latifa juma mohamed
Inaonekana yupo poa sn huyu jamaa kwa dau Hili japo uchumi km umeslump down.
farida ahmadi
Grearish ni mchezaji mzuri Sana kwa hiyo hata akiienda man u hatasaidia kuongeza nguvu kwa man u
Lydia Emmanuel Magoti
Duu uyo jamaha yupo vizuli sio kwakiwango icho wanacho kitaka hastoni villa
David Pere
Waweke day mezani watu wanafikia e wafanye biaashara
Hope mwaikuka
Imekaa poa
Ernest
Grealish ndo safari tena na Samatta atafuata tuu
Salma
Yupo vizuri na ilo dau anastahili
Emmy cleopa
Habar njema #meridianbettz
felister
ilo dau si la kitoto
Tatu
Habari njema