Villas-Boas Kocha wa Marseille 2020-21

Andre Villas-Boas atakuwa ndiye kocha wa klabu ya soka ya Olympique de Marseille kwa msimu wa mwaka 2020-21.

Hilo limethibitishwa na wakali hao wa ligi kuu ya nchini Ufaransa, Ligue 1.

Meneja Villas-Boas amesaini mkataba wa muda wa miaka miwili na kumekuwa na fununu kutoka kwenye vyombo vya habari vya Ufaransa vikidai kuwa meneja huyo wa zamani wa klabu za soka za Chelsea na Tottenham Hotspur anaweza asiendelee kuwa nao ingawa aliipeleka klabu hiyo kwenye hatua ya makundi ya michuano ya UEFA Champions League walipomaliza msimu wakiwa katika nafasi ya pili mbele ya Paris Saint-Germain msimu uliopita.

Kwa sasa OM wamethibitisha kwua Mreno huyo mwenye umri wa miaka 42 atakuwa ndiye mwenye majukumu ya kuiongoza klabu hiyo katika kampeni za msimu ujao.

“Mara baada ya kuwepo na mazungumzo baina ya mmiliki wa klabu, Frank McCourt pamoja na Rais wa klabu, Jacques-Henri Eyraud katika siku za hivi karibuni, Andre Villas-Boas aliamua kuthibitisha kwamba anataka kusalia hapa hapa akiwa na OM kwa msimu mwingine,” maelezo yalitolewa na klabu hiyo.

44 Komentara

    meridian mnaendelea kutupa mambo mazuri sisi meridian nawakubali sana

    Jibu

    Axante kwa Habar zenu mnatujuza meng

    Jibu

    Sawa tu,

    Jibu

    Mreno huyo mwenye umri wa miaka 42 atakuwa ndiye mwenye majukumu ya kuiongoza klabu hiyo katika kampeni za msimu ujao.

    Jibu

    Asanteni kwa kutujuza

    Jibu

    Iko pouw

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa meridian

    Jibu

    Mkataba aliusaini uwe na faida katika timu ndio tunachokitaka hapo

    Jibu

    Mnaendelea kutupa Mambo mazuri meridianbettz mnatisha

    Jibu

    Asante kwa makala#meridianbettz

    Jibu

    Ni kocha mzuri natumai klabu itanufaika na falsafa yake

    Jibu

    good news

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa nzuri

    Jibu

    Sio mbayaaa

    Jibu

    Safi sana kwa villas boas kwa kusaini mkataba

    Jibu

    Andre villas anaipenda sana Olympique#Meridianbettz

    Jibu

    Makala nzuri hongera mwandishi

    Jibu

    Ongera villas boas

    Jibu

    Asante kwa taarifa mahili na za kuaminika.

    Jibu

    Hongera nenda kapambane.

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Bora aendee tu huenda atafanya kutakuwa na mabadiliko

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Dah alipotea sana huyu jmaa, vzr arudi kweny level kubwa kiushindani

    Jibu

    Ndo akakaze huko asije akafanya ya Chelsea na spurs

    Jibu

    Kule Ndio kunamfaa kwa kiwango chake Cha ufundishaji mpiraa

    Jibu

    Kweli kabisa

    Jibu

    ni kocha mzuri pia nijambo zuri aliloamua kusalia katika timu hiyo ya ligue1

    Jibu

    Anafanya kazi nzuri..

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Asanteni kwa tariifa. Meridian

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Itabid mashabiki tuangalie uwezo wa villas boas Kama ataweA kuipandisha Marseille

    Jibu

    Kwa uwezo wake atafanya vizuri sana

    Jibu

    Mi nampenda coz ninkocha kweny farsafa mzur atainufaisha club kuwa katika nagas mzur

    Jibu

    Kule ndo kunamfaa kwa kiwango chake

    Jibu

    Ninachompendea Villas-Boas lazima aweke alama katika klabu ambayo ataifundisha, Ni Kocha mwenye ubora wa juu sana katika karne hii.

    Jibu

    nilikuwa nishamsau huyu kocha kumbe bado yupo waingerza sio watu kabisa

    Jibu

    Villa boas bado uwezo anao..natagemea atafanya mazuri#meridianbettz

    Jibu

    Ni kocha mzur

    Jibu

    Pogezi kwake

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Anafanya kz nzr hivyo nenda kapambane

    Jibu

    Hongera zake nenda kapambane kaka

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.