Taarifa njema kwa mashabiki wa Liverpool ni kwamba beki kitasa wa timu hiyo Virgil Van Dijk anatajwa kuanza kufanya mazoezi mepesi yatakayomsaidia kurejea kwenye ubora wake wa zamani.
Beki huyo wa kati anasumbuliwa na majeraha ya goti ambapo kwa sasa anapambana ili arejee uwanjani baada ya kuumizwa na nyota wa Everton, Jordan Pickford kwenye Merseyside dabi mwezi uliopita.
Baada ya kufanyiwa vipimo na upasuaji Van Dijk taarifa zinaeleza kuwa ameanza kufanya mazoezi mepesi ambayo yatamfanya aweze kurejea kwenye kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England chini ya Jurgen Klopp.
Taarifa kutoka Liverpool imeeleza kuwa beki huyo anaendelea vizuri na upasuaji wake ulikwenda vizuri jambo ambalo limemfurahisha Klopp ambaye amesema kuwa wanatarajia kuwa na habari njema hivi karibuni.
Liverpool inapambana kutetea taji la ligi ikiwa inawakosa nyota wake wengi ambao ni mabeki ikiwa ni pamoja na Joe Gomez, Fabinho ambao wanasumbuliwa na majeraha.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri kwasisi mashabiki
Ernest
Habari nzuri kwa Liverpool
Warda
Habar njema sana
felister
habari njema kwa mashabiki wa liverpool
magdalena
kidogo mashabiki wa liverpool wameanza kuwa na matumaini mapya
Caroline
Good
Adelta
Ni habari njema kwa Liverpool
Fatina mfingi
Ni habar njema kwa cc mashabiki
zeiyana
Ni vizuri wangempa nafasi ya kupunzika hili kuimarisha afya yake
Ester jackson
Habari njema hizi kwa mashabiki wa Liverpool wanaujua moto wake hats Chelsea walitaka kumsajili kwenye dirisha lililopita ila kwa bahati mbaya hawakufanya hivyo mana wanajua ujemedari wake
Issa
Mwenye liver yake anarud
Hopemwaikuka
Afadhal jamani
Rahma
Habari njema
Sauda
Kaza kamba kijana
Saupha mohamed
Kila LA kheri
Nasra
Gud
Samiah
Gud
Shakila mrope
Vizuri
Povel
Get well soon
Sabrina
Itakua poa sana akirudi mchezoni
aisha
Kazi nzuri inayopendeza
Rehema
Good
Ester mmakasa
Ni jambo jema sana kwetu mashabiki wake.
Tatu
Safi