Vorm Amestaafu Kucheza Soka

Kunako ulimwengu wa soka, aliyekuwa golikipa namba 2 wa Tottenham – Michel Vorm, ametangaza kustaafu kucheza soka.

Vorm (miaka 37) aliachana na Spurs baada ya mkataba wake kumalizika majira haya ya kiangazi.

Taarifa rasmi kutoka Spurs zinasomeka ” Asante kwa kila kitu na tunakutakia kila la kheri.”

Mwaka 2019, Michel aliondoka Spurs baada ya Hugo Lloris kupewa nafasi kubwa na kocha wa muda ule – Mauricio Pochettino. Alirejea tena klabuni hapo baada ya Lloris kupata majeruhi ya muda mrefu na alisaini mkataba wa muda mfupi mpaka mwisho wa msimu uliomalizika.

Michel alijiunga na Spurs mwaka 2014 akitokea Swansea na ameitumikia Spurs kwa jumla ya michezo 48.


Tsh.160,000,000 Kushindaniwa!

Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.

Kamata Mkwanja wako HAPA🤑

21 Komentara

    ni maamuzi magumu aliyofanya vorm kwa umri haliokua nao bado hanaitajika sana kwenye ulimwengu wa soka

    Jibu

    Amechagua maamuzi sahii kutoka na umri wake

    Jibu

    Vizuri nimamuzi yake kutaka kustaafu soka

    Jibu

    Apumzike tuu.kama kichwa kimechoka

    Jibu

    Mapumziko mema

    Jibu

    Vorm hajaenjoy kabisa soka lake muda mwingi ameutumia akiwa benchi

    Jibu

    Ni maamuzi mazuri umri unaruhusu

    Jibu

    Sio mbaya kila jambo na wakati wake

    Jibu

    Sio jambo baya kila la heri

    Jibu

    Maamuzi aliyoyatoa umri wake bado kabisa kustaafu

    Jibu

    Sio mbaya Age imekata

    Jibu

    Umri wake bado kama mwenyewe ameamua hvyo poa

    Jibu

    Rekod safi alioiacha

    Jibu

    Bora apumzike tuu

    Jibu

    Apumzike legendary Vorm spurs tutakumis na kukumbuk kwa mambo yako mazuri

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Hawezi kusahaulika hata siku moja

    Jibu

    Inapendeza akipumzika Miaka yake inaruhusu

    Jibu

    Ni jamb nzur kam ameona hivyo

    Jibu

    Ni maamuzi yake katika kustaafu soka

    Jibu

    Kafanya poa sema namuona bado mdogo

    Jibu

Acha ujumbe