Watano Wanaosepa Man United Januari

Manchester United wanaripotiwa kufikiria kuwauza wachezaji watano wa kikosi cha kwanza kwenye dirisha la usajili la Januari.

Mabingwa hao mara 20 wa Uingereza  hawatarajii kunua wachezaji wapya mwezi Januari, lakini kuna uwezekano wa kuwauza wachezaji kadhaa  pale Old Trafford wakati United wakijaribu kupunguza kikosi chao.

Kwa mujibu wa Manchester Evening News, takribani wachezaji watano wa kikosi cha kwanza wanaweza kuondoka, akiwemo Anthony Martial, ambaye ameonyesha nia ya kutafuta klabu mpya mwanzoni mwa 2022.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo pia inadai kuwa Jesse Lingard, ambaye mkataba wake unamalizika msimu ujao wa joto na mlinda mlango nambari mbili Dean Henderson wanaweza kuondoka katika dirisha la Januari, huku mustakabali wa Donny van de Beek unaendelea kutiliwa shaka.

Man United pia inadaiwa kufikiria kumuuza Paul Pogba kwa pesa zinazofaa mwezi ujao, huku mkataba wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa katika klabu hiyo ukikamilika Juni ujao.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.