Werne :Smith Hakutakiwa Kikosi cha Australia Kriketi T20.

 

Shane Werne amekosoa maamuzi ya kumjumuisha mchezaji Steve Smith kwenye kikosi kilichopo kwenye mashindano ya kombe la dunia ya kriketi WC T20 yanayofanyika nchini Australia.

 

Kauli hiyo inakuja baada ya Australia ambao ni wenyeji wa mashindano ya WC T20 kukubali kipigo dhidi ya England siku ya Jumamosi. Shane Werne anaamini Mitchell Marsh alistahili katika kikosi hicho.

“Maamuzi yasiyotarajiwa kwa Australia kumuacha (Mitch) Marsh nje na kumuweka Maxwell Glenn aanze katika power play (alitakiwa aingie baada ya power play)” aliandika katika ukurasa wake wa twitter.

“(Marcus) Stoinis alitakiwa kuingia. Mbinu na mikakati mibovu kutoka kwa Aussies. Nampenda Smith lakini hakutakiwa kuwepo katika kikosi cha WC T20. Marsh alitakiwa.” aliongeza Werne.


JIUNGE KWENYE SHINDANO LETU LA EXPANSE NA USHINDE!

Achana na ndoto za usingizini za kuokota burungutu la pesa, amkia upande wa ushindi halisi kutoka Meridanbet kwenye shindano la Expanse linalojumuisha michezo pendwa ya sloti za mtandaoni iliyopo kwenye promosheni ya Expanse kutoka Meridianbet.

JIUNGE KWENYE SHINDANO LETU LA EXPANSE NA USHINDE! Jinyakulie sehemu ya mgao wa Tsh 1,000,000 kupitia shindano la Sloti za ExpanseπŸ”₯ Litakalo fika mwsiho Oktoba 31, 2021 saa 5:59:59 usikuβ€Ό Bofya hapa Kujua zaidi

BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.