West Ham Kila kitu Sawa kwa Todibo

Makala iliyopita
Chelsea Wamalizana na NetoMakala ijayo
De Gea ni Mali ya Fiorentina
Msimu huu wagonga nyundo hao kutoka jiji la London wameonekana kua makini katika sajili ikiwa ni baada ya kutofanya vizuri msimu ulimalzika chini ya kocha David Moyes ambaye wameachana nae, Kocha Julein Lopetegui ameonekana kufanya mabadiliko makubwa ndani ya timu hiyo kwa kipindi cha muda mfupi.