Tunaendelea tulipoishia kwenye sakata la Georginio Wijnaldum ndani ya kikosi cha Liverpool. Swali ni kwamba, tunabaki au tunaondoka Anfield?
Gini Wijnaldum kama ambavyo kocha wake (Jurgen Klopp) anapenda kumuita, anaingia kwenye miezi 6 ya mwisho kwenye mkataba wake na Liverpool.
Licha ya mabosi wa klabu hiyo kumpatia kandarasi mpya ili aendelee kubaki Anfield, Wijnaldum amewasubirisha viongozi wa klabu hiyo wakati huu ambao bado anafikiria ni uamuzi upi sahihi kwake kuufanya – abaki au aondoke?
Upande wa pili wa vuguvugu hili kuna Ronald Koeman ambaye ni dhahiri anamuhitaji Gini kwenye kikosi chake kule Catalunya akiwa na Barcelona.

Majira ya kiangazi, Koeman aliweka wazi matamanio yake ya kumsajili kiungo huyu ambaye alifanya nae kazi kubwa na nzuri wakati walipokuwa pamoja kwenye timu ya taifa ya Uholanzi.
Wiki ya kufanya maamuzi ni hii. Dirisha dogo la usajili litafunguliwa rasmi Januari 2,2021 na Gini atakuwa na jukumu la kuamua hatma yake. Ni asaini mkataba wa mapema na Barcelona ili ajiunge nayo msimu ujao au aongeze mkataba Anfield.
Hapa ni vita ya Klopp vs Koeman, nani atafanikiwa kumpata Wijnaldum kwenye kikosi chake kuanzia msimu ujao?
Wiki hii pengine majibu sahihi yatapatikana, waswahili walisema ‘kizuri chajiuza’.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?




Fatina mfingi
Haya Ni maamuzi yake
Mwanahamisi
Ni maamuzi sahihi
Sarah
Nimaamuzi yake mwenyewe
Rahmal
Safi ayo ni mamuzi yke mwenyewe
Caroline
Maamuzi ni yake
Hopemwaikuka
Mwenye kisu kikali atakula nyama
Angelina
Goodupdate
Saupha mohamed
Maamuzi mazuri
Dorophina
Dogo abaki tu liverpool mbona ni klabu bora
Shakila mrope
Kila mtu na maamuzi yake
David Pere
Upande wa pili wa vuguvugu hili kuna Ronald Koeman ambaye ni dhahiri anamuhitaji Gini kwenye kikosi chake kule Catalunya akiwa na Barcelona.
Khadija
Maamuzi ni yake
Lydia Emmanuel Magoti
Ngoja tuone nimamuzi yake abaki au asepe
Zahara omary
Maamuz ni yake
Sania
Hiyo ataamua mwenyewe
Adelta
Yuko sahihi kabisaa
Sabrina
Kazi kwake kuchagua
Ernest Kimeru
Lazima ataondoka tuu
warda
Aende tu kwani yeye si kama Messi wa kukaa kila siku barca
Tatu
Maamuzi ni yake
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet